The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Kwann yeye asitujaribu sisi. Aje aichukue hata kagera tu, Ili tujue kua yeye ni mbabe.Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Wanakuja kutupigia PROPAGANDA Tz wakati sisi ndo tumewafunza kila kitu😀😀😀Wanyarwanda naona mmetumwa kufanya information warfare, ili kujenga taswira ya uimara wenu, udhaifu wa adui, mnashinda, mko sahihi na kila.kitu kizuri kuhusu Kagame, Watutsi, Jeshi la Rwanda na waasisi mnaowafadhili kwa kushirikiana na Uganda.
Hizi siku mbili tatu tutawafahamu wote kwa nyuzi zenu.
Imemchukua miaka 20 kuuchukua mkoa..kuwa serious bas wakuu...Huyu jamaa ni mbabe wa vita katika nchi za Africa mashariki hamna jeshi la kumpiga yaani nchi yake ni kama Israel jamaa anaogopeka sana kawafyeka wanajeshi wa nchi mbalimbali pale Kongo na kashikilia goma umekua mkoa wa rwanda yaani anatisha huwezi kuwa na kiongozi mwanamke na kupasua matofali utarajie kumpiga kagame ni ndoto
Mkuu nadhani hata usingefika huko mbali kote, hata angekuwa navyo amevipata kwa kukwapua madini ya wakongo na kuwauwa haviwezi mfaa. Ananuka laana ya Damu nyingi zilizodhulumiwa.Wana drones ngapi??, auto pilot planes ngapi? Army yao pmj na reserve ni kiasi gani? Wana missiles ngapi? Tuanzie hapo
Mkuu nadhani hata usingefika huko mbali kote, hata angekuwa navyo amevipata kwa kukwapua madini ya wakongo na kuwauwa haviwezi mfaa. Ananuka laana ya Damu nyingi zilizodhulumiwa.
aote kwani amekuwa mchicha?Endelea kuota
Hakuna wanyarwanda wenye huo upambuvu au uwezo wa kupenya kirahis hivo, kinachifanyika na jamii ya kitusi ambayo imeheshimiwa kupewa uraia nchin lakin kwa ushamba wa kiafrika wanasaliti mataifa yaliyo au yanayo waheshim. Kwa kifupi wanadhihirisha kwamba wao wasio waaminifu kwa jamii zingind just simple.Ndo ujie kama jf wamo ujue na kwingine wamo. Wakati tunaji mwambafy kuwa dk chache zinatosha kummaliza huku mitandaoni.. Wenyewe wamafanya kweli kujipenyeza kwenye mifumo.
Nini kifanyikeHakuna wanyarwanda wenye huo upambuvu au uwezo wa kupenya kirahis hivo, kinachifanyika na jamii ya kitusi ambayo imeheshimiwa kupewa uraia nchin lakin kwa ushamba wa kiafrika wanasaliti mataifa yaliyo au yanayo waheshim. Kwa kifupi wanadhihirisha kwamba wao wasio waaminifu kwa jamii zingind just simple.
Ila fikiria kama jamii zingne zikiwafanyia hivo hivo sjui watakuwa wagen wa nan.
kagame ni overrated, hana uwezo huo anawaburuza nchi ambazo ni collapse state kama drc na BurundiPaul Kagame au unaweza kumuita Paulo Kagame, huyu ni kijana wa Nyerere aliyepikwa kijeshi na kuiva vyema hapa nchini Tanzania, aisee mwamba anajiamini sana unajua kwa nini!! Twende kazi!!
Ni rais pekee kutoka eneo la Afrika mashariki ambaye kijasusi tunamuita HIGH PROFILE MISSION ana uwezo mkubwa sana katika intelejensia na hii imekuwa silaha yake kubwa, na ndio maana hata kwenye vita vya Uganda na Tanzania, Kagame ndiye aliyepewa dhamana ya kuongoza intelejensia vita kwa upande wa Tanzania (rejea kikao cha moshi conference )
Intelejensia ya Kagame ni nguzo muhimu sana kwake nyie mnaweza kuona Rwanda ni ndogo sana kijografia lakini ni kubwa sana kiintelehensia na nguvu kubwa na muhimu ya jeshi lolote imara duniani ni intelejensia, kwenye hili la intelejensia sitaki kutoa mifano mingi sana ila itoshe kusema Intelejensia ya Rwanda ni kubwa sana na nchi karibu zote za Afrika mashariki na kusini mwa Afrika wanalijua hilo
Huyu Kagame amepikwa hapo Monduli Arusha katika chuo cha kijeshi alafu akapelekwa Morogoro katika eneo la kimkakati na kufuliwa vyema hivyo analijua jeshi kweli kweli mpaka kuwa katika level ya high profile mission sio jambo dogo
Kagame pia anapata faida kubwa ya kuwa Rais pekee wa Afrika mashariki aliyeishi na kukulia maeneo mengi ya kanda hiyo kuliko Rais mwingine yeyote, Kagame ameishi Tanzania, Uganda, Burundi, Congo, hii inambeba pia kiintelehensia, Kagame ni mtu hatari sana hilo matejoo tunakiri wazi kabisa!!
Hii nakubaliPaul Kagame au unaweza kumuita Paulo Kagame, huyu ni kijana wa Nyerere aliyepikwa kijeshi na kuiva vyema hapa nchini Tanzania, aisee mwamba anajiamini sana unajua kwa nini!! Twende kazi!!
Ni rais pekee kutoka eneo la Afrika mashariki ambaye kijasusi tunamuita HIGH PROFILE MISSION ana uwezo mkubwa sana katika intelejensia na hii imekuwa silaha yake kubwa, na ndio maana hata kwenye vita vya Uganda na Tanzania, Kagame ndiye aliyepewa dhamana ya kuongoza intelejensia vita kwa upande wa Tanzania (rejea kikao cha moshi conference )
Intelejensia ya Kagame ni nguzo muhimu sana kwake nyie mnaweza kuona Rwanda ni ndogo sana kijografia lakini ni kubwa sana kiintelehensia na nguvu kubwa na muhimu ya jeshi lolote imara duniani ni intelejensia, kwenye hili la intelejensia sitaki kutoa mifano mingi sana ila itoshe kusema Intelejensia ya Rwanda ni kubwa sana na nchi karibu zote za Afrika mashariki na kusini mwa Afrika wanalijua hilo
Huyu Kagame amepikwa hapo Monduli Arusha katika chuo cha kijeshi alafu akapelekwa Morogoro katika eneo la kimkakati na kufuliwa vyema hivyo analijua jeshi kweli kweli mpaka kuwa katika level ya high profile mission sio jambo dogo
Kagame pia anapata faida kubwa ya kuwa Rais pekee wa Afrika mashariki aliyeishi na kukulia maeneo mengi ya kanda hiyo kuliko Rais mwingine yeyote, Kagame ameishi Tanzania, Uganda, Burundi, Congo, hii inambeba pia kiintelehensia, Kagame ni mtu hatari sana hilo matejoo tunakiri wazi kabisa!!
Unaongea usichokijua.Hakuna wanyarwanda wenye huo upambuvu au uwezo wa kupenya kirahis hivo, kinachifanyika na jamii ya kitusi ambayo imeheshimiwa kupewa uraia nchin lakin kwa ushamba wa kiafrika wanasaliti mataifa yaliyo au yanayo waheshim. Kwa kifupi wanadhihirisha kwamba wao wasio waaminifu kwa jamii zingind just simple.
Ila fikiria kama jamii zingne zikiwafanyia hivo hivo sjui watakuwa wagen wa nan.
Paul Kagame au unaweza kumuita Paulo Kagame, huyu ni kijana wa Nyerere aliyepikwa kijeshi na kuiva vyema hapa nchini Tanzania, aisee mwamba anajiamini sana unajua kwa nini!! Twende kazi!!
Ni rais pekee kutoka eneo la Afrika mashariki ambaye kijasusi tunamuita HIGH PROFILE MISSION ana uwezo mkubwa sana katika intelejensia na hii imekuwa silaha yake kubwa, na ndio maana hata kwenye vita vya Uganda na Tanzania, Kagame ndiye aliyepewa dhamana ya kuongoza intelejensia vita kwa upande wa Tanzania (rejea kikao cha moshi conference )
Intelejensia ya Kagame ni nguzo muhimu sana kwake nyie mnaweza kuona Rwanda ni ndogo sana kijografia lakini ni kubwa sana kiintelehensia na nguvu kubwa na muhimu ya jeshi lolote imara duniani ni intelejensia, kwenye hili la intelejensia sitaki kutoa mifano mingi sana ila itoshe kusema Intelejensia ya Rwanda ni kubwa sana na nchi karibu zote za Afrika mashariki na kusini mwa Afrika wanalijua hilo
Huyu Kagame amepikwa hapo Monduli Arusha katika chuo cha kijeshi alafu akapelekwa Morogoro katika eneo la kimkakati na kufuliwa vyema hivyo analijua jeshi kweli kweli mpaka kuwa katika level ya high profile mission sio jambo dogo
Kagame pia anapata faida kubwa ya kuwa Rais pekee wa Afrika mashariki aliyeishi na kukulia maeneo mengi ya kanda hiyo kuliko Rais mwingine yeyote, Kagame ameishi Tanzania, Uganda, Burundi, Congo, hii inambeba pia kiintelehensia, Kagame ni mtu hatari sana hilo matejoo tunakiri wazi kabisa!!
mitano tena samiaWanyarwanda mmejaa kwelikweli kila dakika ni nyuzi za kumsifu Kagame na Rwanda utadhani basi kinachosifiwa ni dubwasha kubwa kumbe vidude tu ambavyo watu wakiamua hata siku haiishi panakuwa historia
Nop, sina maana hiyo japokuw xote ni factorz zinazo pelekea utiliwaj mashaka ya uslama dhid ya uwepo wa wagen au watu wenye utii au asili ya nchi zingne.Unaongea usichokijua.
Kauli ya CDF uliielewa? Au wewe ni mjuaji kuliko CDF?