Ukiongeza na lile la jana, la Rais kutoa wazi habari ya mwaka 2019 ambayo ni biashara iliyokwisha kufa, mbele ya hadhira, eti Kenya nao wamekimbilia huko.Navihurumia sana vyombo vyetu vya ULINZI NA USALAMA kwa maana vinapitia wakati mgumu sana. Ni fedheha kubwa sana kwa haya yanayoendelea.
Comments reservedWajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Sasa wewe hilo mpaka ukutane na "miwani meusi"?Wajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Halafu huyu Kagame, Watanzania humpaisha sana kwa kumsifia kuliko hata wanyarwanda wenyewe anaowaongoza.
mtu chake
Hii ni gender stereotype na ukosefu wa hekima na busara kwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu. Pia, ni very primitive nonsense. Dunia ya leo kuna viongozi wanawake wengi wana uwezo mkubwa tu kuliko baadhi ya wanaume.Kagame alipo muendesha mtu na gari pekee yake mlitegrmea nini,nawasihi watumishi wa Mungu mumuombea huyu mama inawezekana sio akili yake maskini....mwanamke ni mdhaifu mbele ya wanaume hiyo ni nature,wamemshawishi kwa mazingira na kwa hoja za kilaghai.
Eheeheh, ngahwe! Tumechokoza. Ngoja nikimbie kujinusuru!Hii ni gender stereotype na ukosefu wa hekima na busara kwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu. Pia, ni very primitive nonsense. Dunia ya leo kuna viongozi wanawake wengi wana uwezo mkubwa tu kuliko baadhi ya wanaume.
Kuna wanawake wana akili na ndiyo wanaoongoza familia huku mitaani kuliko baadhi ya wanaume. Uwezo wa uongozi na msimamo thabiti hautokani huyu ni mwanaume au mwanamke bali nature ya mtu. Afrika imeporwa rasilimali zake miaka yote na kutajirisha Ulaya walioongoza tangu uhuru wa nchi za bara hili ni wanawake? Tuache maneno yasiyo na heshima kwa Rais wa nchi. Tutumie vizuri uhuru wa maoni.[emoji120][emoji120][emoji120]