The Tutsi, ni watu wa hatari mno kuliko tunavyowachukulia poa. Ninawajua ndani nje. Au waulizeni jamaa zetu kutoka mkoa wa Kigoma, hususani, wenye umri wa miaka 90+; "Inka na Amata yi Nka" na vijizawadi vidogo vidogo viliwaponza wakatawaliwa kwa kutumikishwa kinyama, kudhalilishwa, na kadhalika na The Tutsi. Na hii ndiyo "ngorane" (Timbwili) baina ya The Hutu vs The Tutsi huko Kigali na Bujumbura. Hawaji kukaa wakaelewana makabila yale. Never!
The Tutsi wana akili sana kutuzidi The Bantu. Wamezoezwa na kuwa na tabia ya kuwa na Programu za maendeleo za muda mrefu ( Long term Plans). Binafsi huwafananisha na The Europeans (white people). Ni watu wa hila sana. The Tutsi wana mirth waliaminishwa na ancestors wao, kwamba, Wao ni Bora, ni, wa uzao wa Mungu wa Mbinguni (walishuka kutoka mbinguni), na, Mungu (Imana) aliwaleta hapa duniani kutawala, aidha, rasilmali zote za dunia hii zipo chini ya umiliki wao. Ng'ombe (Inka) ni alama yao kubwa sana ya heshima na utajiri. The Tutsi hata mkiwa wawili mnatembea au kusafiri pamoja atajitahidi uwe chini yake.
Kwa hiyo hili la Kagame "Umushingantahe" sishangai. Kama Mama ameingia kwenye "anga" zake, tumekwisha. Wallah tumekwisha. Anyway, sakata hili la Port litaibua mambo mengi tu. Niishie hapa.