Paul Kimiti akiri kuhujumu Katiba ya Joseph Sinde Warioba

HAO WAZEE WATACHOMWA MOTO WA GAS
 
Daaah!! Siri zingine si ni zakuondoka nazi ukilala kimoja au??? Y aseme sasa hivi? Ana nia gani au kakumbwa na nini?.. labda toba ya uwazi. Ana bahati wananchi watulivu, nchi zingine angeshaona majanga.

Ameboa lakini.. Angelanalo kimya.. Inasikitisha.. kideo wapi tumuwone na sura yake akiyaongea..
 
Wewe unalipwa nyingi sana huko Lumumba FC umekua mtetezi wa mafisadi mpaka Lucas mwashambwa anakuogopa
 
Wewe unalipwa nyingi sana huko Lumumba FC umekua mtetezi wa mafisadi mpaka Lucas mwashambwa anakuogopa
sina haja ya malipo hata kidogo napodhihirisha ukweli bayana na kinagaubaga 🐒🐒

daima ukweli na uzalendo hauhitaji malipo unajilipa wenyewe 🐒

nitawaombea kwa Mungu, viongozi wa nchi hii bure, na nitawasilisha maoni na mtazamo wangu kwa jamii dhidi ya viongozi wa nchi bure 🐒

Mungu ampetupatia vyote tulivyo navyo, mathalani karama, uwezo na vipaji mbalimbali bure, yafaa basi tutoe bure, tena kwa ukarimu 🐒
 
kiufupi kabisa hafungwi na mtazamo au maoni ya mtu au taasisi fulani. Ni mtu mzima mwenye upeo na utashi wake binafsi wa kua assess faida na madhara ya hoja fulani.🐒

Lakini zaid sana, yule Mzee si nyumbu au ng'ombe wa kupelekwa pelekwa tu bila uelekeo ati kwasabb fulani kaamua hivi au vile 🐒

he is, determined, bold and very focused senior politician we have in this country 🐒

Lazima muheshimu maoni na mtazamo wake, sio kubabaika na kuzubaa na mrengo aliechukua dhidi ya serikali3, mkadhani atayumba na kupanic kwenu 🐒
 
Ndiyo kwa kuwa alikuwa anawakilisha Tume ili kutoa ufafanuzi wa mambo ambayo wajumbe wa kamati yake hawayaelewi! Ilikuwa hafai kuongoza kamati na angekataa kubeba majukumu ambayo hayawezi!
Sio hoja..hujui siasa
 
Ni hatari sana kuwa na wazee wanafiki! Tume imekubaliana jambo na yeye akiwa anakubali kumbe anachora tu wenzake!
Nani amekwambia tume imekubaliana..sema wamepiga kura wengi wape..matumizi ya demokrasia tu..haimaanishi hawakutofautiana kimawazo
 
Nani amekwambia tume imekubaliana..sema wamepiga kura wengi wape..matumizi ya demokrasia tu..haimaanishi hawakutofautiana kimawazo
Acha uongo! Kazi ya Tume ilikuwa kukusanya maoni ya wananchi na kuyawasilisha na siyo kutoa maoni yao! Kwa hiyo demokrasia haihusiki hapo!
 
Hiyo soda ni ya mwaka 1987,alienda nayo studio mwaka huu? Sijaelewa vizuri
Ya
 
Wazee wa aina hii ndiyo waliofikisha taifa kusiko husika. Sijuhi uko kwenye Baraza la mawaziri nako alikuwa akiwasaliti wenzae? Mtu yuko kwenye tume na mmekubaliana na kutoa ripoti. Wakati wa utekelezaji unawageuka na kuwasaliti wenzako. Ni sawa tu na alivyofanya Kikwete. Na tunao wengine wengi wa aina hii, anzia kwa Kabudi, Bashiru na Polepole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…