wacha nikufunue fikra kidogo apo. ...
nadhani jambo hili wewe pamoja na wengine wengi wasiokua na ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya mambo haya, wanadhani ati yote yaliyokuwamo kwenye rasimu ya warioba eti wajumbe wote wale walikubaliana nayo 100%. That's wrong, haikua hivyo, na haiko hivyo na haitawahi kua hivyo, that one you must understand..🐒
mnajadiliana, mnaeleweshana, mnaeleweshana, mnarekebishana na completely mnaweza kukubaliana au kutokubaliana kabisa on some issues, but kwa ungwana, utashi na uzalendrooo wenu mnaweza tafuta namna ya kufikia maridhiano na hatimae maafikiano, kwa labda wingi au uchache wa kura za wajumbe mliopo, halafu mnasonga mbele kwenye jambo lingine 🐒
kutokubaliana na jambo fulani si unafiki, huenda ulipotoshwa awali, ama ni slow learner umekuja kuelewa uzuri au ubaya wa jambo hilo na sasa umeerevuka na huwezi kustahimili kuishi kwenye upotovu huo 🐒
ni ambaye hajakomaa kifikra, dhaifu hoja na ushawishi, na mwenye majibu yake mfukoni ndio pekee anaeweza ita maoni, mitazamo au msimamo wa mwingine unafiki, akidhani wote wanafikiri kama yeye, no haipo hivo🐒
The Muzee yuko sahihi, na nadhani ameatract mamilioni ya waTz kuungana na mtazamo wake na hivyo jambo hili kuamuliwa kirahisi sana siku za usoni 🐒