Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Wenyewe wanaita kazi maalumuKwa tabia ya CCM si ajabu waliweka mapandikizi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe wanaita kazi maalumuKwa tabia ya CCM si ajabu waliweka mapandikizi!
kwa wakati muafaka tutajadiliana kinagaubaga, tuliza ball my friend 🐒Ripoti ya CAG nayo utaitetea? Au ndio tupotezee
Kwahiyo anafurahia hicho kitendo alichokifanya ??!Leo jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV kinachoongozwa na Farhia Middle aliyekuwa Waziri wa Kilimo na pia kada maarufu wa CCM amekiri kuhujumu katiba ya Warioba ambayo ilipendekeza serikali tatu.
Itakumbukwa Kimiti alikuwa mjumbe wa Tume ya Warioba iliyozunguka nchi nzima kutafuta maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Aidha alikuwa Mwenyekiti wa kamati namba 16 ndani ya Bunge la katiba.
Katika kipindi cha leo amesema aliona serikali tatu zitaleta mgawanyiko na hatimaye kuvunjika kwa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar na hivyo kwenda kinyume na makubaliano ya Tume ya Warioba. Kwa hiyo alishiriki kuwashawishi wajumbe wa kamati yake namba 16 kupinga mapendekezo ya Tume ya Warioba.
Pole sana Mzalendo Warioba kwa kusalitiwa wa wajumbe wanafiki wa Tume yako!
Obviously mtu yeyote anayefurahia dhulma inapofanyika hawezi kukwepa ghadhabu za Mungu siku ikiwadia !HAO WAZEE WATACHOMWA MOTO WA GAS
Tlaatlaah, tofautisha unafiki na kueleza ukweli. Kama hasingekuwa kwenye tume ningekubaliana na wewe, lakini aliwezaje kuigeuka ripoti ya tume ambayo na yeye alikuwa sehemu ya hiyo ripoti
Naamini muungano wa sasa ni mbovu kuliko uliopendekezwa na Tume ya warioba kwa sababu pande zote mbili zinakosa haki iliyokamilika.Aidha,toka tumeungana hakujatokea nchi jirani Afrika kuiga muungano huu; jambo linaloashiria madhaifu yaliopo.Tafuteni maoni ya wanan chi muone!Leo jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV kinachoongozwa na Farhia Middle aliyekuwa Waziri wa Kilimo na pia kada maarufu wa CCM amekiri kuhujumu katiba ya Warioba ambayo ilipendekeza serikali tatu.
Itakumbukwa Kimiti alikuwa mjumbe wa Tume ya Warioba iliyozunguka nchi nzima kutafuta maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Aidha alikuwa Mwenyekiti wa kamati namba 16 ndani ya Bunge la katiba.
Katika kipindi cha leo amesema aliona serikali tatu zitaleta mgawanyiko na hatimaye kuvunjika kwa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar na hivyo kwenda kinyume na makubaliano ya Tume ya Warioba. Kwa hiyo alishiriki kuwashawishi wajumbe wa kamati yake namba 16 kupinga mapendekezo ya Tume ya Warioba.
Pole sana Mzalendo Warioba kwa kusalitiwa wa wajumbe wanafiki wa Tume yako!
Haiondoi ujambazi wa CCM kwenye TAIFA hilikwa wakati muafaka tutajadiliana kinagaubaga, tuliza ball my friend 🐒
Ukiwa mjinga utadhani unajua mambo kuliko wengine. Ni hivi, kamati iliundwa kutafuta maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya, na moja hoja kwenye adidu rejea lilikuwa swala la muungano. Baada ya maoni kukusanywa wajumbe walikuwa na wajibu wa kuyachambua na kutoa mapendekezo. Kamati kama kitu kimoja mmekaa, kujadili na kutoa mapendekezo kama timu moja, ni upuuzi uliopitiliza kugeuka wenzako kwa kile ulichokisaini wenyewe. Alikuwa wapi kuwaelimisha wenzake hadi wakamuelewa? Na kama hayo maoni yake yalikataliwa kwa wingi wa wenzake ktk kamati kulikuwa na options mbili, kujitoa kwenye hiyo kamati au kukaa kimya, siyo kuzunguka kwa mlango wa nyuma.wacha nikufunue fikra kidogo apo. ...
nadhani jambo hili wewe pamoja na wengine wengi wasiokua na ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya mambo haya, wanadhani ati yote yaliyokuwamo kwenye rasimu ya warioba eti wajumbe wote wale walikubaliana nayo 100%. That's wrong, haikua hivyo, na haiko hivyo na haitawahi kua hivyo, that one you must understand..[emoji205]
mnajadiliana, mnaeleweshana, mnaeleweshana, mnarekebishana na completely mnaweza kukubaliana au kutokubaliana kabisa on some issues, but kwa ungwana, utashi na uzalendrooo wenu mnaweza tafuta namna ya kufikia maridhiano na hatimae maafikiano, kwa labda wingi au uchache wa kura za wajumbe mliopo, halafu mnasonga mbele kwenye jambo lingine [emoji205]
kutokubaliana na jambo fulani si unafiki, huenda ulipotoshwa awali, ama ni slow learner umekuja kuelewa uzuri au ubaya wa jambo hilo na sasa umeerevuka na huwezi kustahimili kuishi kwenye upotovu huo [emoji205]
ni ambaye hajakomaa kifikra, dhaifu hoja na ushawishi, na mwenye majibu yake mfukoni ndio pekee anaeweza ita maoni, mitazamo au msimamo wa mwingine unafiki, akidhani wote wanafikiri kama yeye, no haipo hivo[emoji205]
The Muzee yuko sahihi, na nadhani ameatract mamilioni ya waTz kuungana na mtazamo wake na hivyo jambo hili kuamuliwa kirahisi sana siku za usoni [emoji205]
nimeeleza sana mwanzoni kwamba, kua katika tume au kamati moja haimanishi mnakubaliana na kila kitu miongoni mwenu..Ukiwa mjinga utadhani unajua mambo kuliko wengine. Ni hivi, kamati iliundwa kutafuta maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya, na moja hoja kwenye adidu rejea lilikuwa swala la muungano. Baada ya maoni kukusanywa wajumbe walikuwa na wajibu wa kuyachambua na kutoa mapendekezo. Kamati kama kitu kimoja mmekaa, kujadili na kutoa mapendekezo kama timu moja, ni upuuzi uliopitiliza kugeuka wenzako kwa kile ulichokisaini wenyewe. Alikuwa wapi kuwaelimisha wenzake hadi wakamuelewa? Na kama hayo maoni yake yalikataliwa kwa wingi wa wenzake ktk kamati kulikuwa na options mbili, kujitoa kwenye hiyo kamati au kukaa kimya, siyo kuzunguka kwa mlango wa nyuma.
Uzalendo au majuto ya kutokuwa mkweli wakati alipokuwa na nafasi?Nauona mwanga Nchi yetu naona wengi sasa wanaanza kusema siri walizozificha Moyoni..
Ninaamini Uzalendo unarejea!
Labda inafaa kwa sasa, ndio maana amekiri kosa lake.Leo jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV kinachoongozwa na Farhia Middle aliyekuwa Waziri wa Kilimo na pia kada maarufu wa CCM amekiri kuhujumu katiba ya Warioba ambayo ilipendekeza serikali tatu.
Itakumbukwa Kimiti alikuwa mjumbe wa Tume ya Warioba iliyozunguka nchi nzima kutafuta maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Aidha alikuwa Mwenyekiti wa kamati namba 16 ndani ya Bunge la katiba.
Katika kipindi cha leo amesema aliona serikali tatu zitaleta mgawanyiko na hatimaye kuvunjika kwa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar na hivyo kwenda kinyume na makubaliano ya Tume ya Warioba. Kwa hiyo alishiriki kuwashawishi wajumbe wa kamati yake namba 16 kupinga mapendekezo ya Tume ya Warioba.
Pole sana Mzalendo Warioba kwa kusalitiwa wa wajumbe wanafiki wa Tume yako!
Ni sahihi.Halafu utakuta zee kama hili linalipwa na kulelelwa na Kodi za wananchi. Mxiuuu!
Yumkini anajuta au anawakumbusha wenzake yeye ndiye aliyekwamisha ule mchakato kwa maslahi ya chama chao, naona anatafuta japo uenyekiti wa bodi.Kwahiyo anafurahia hicho kitendo alichokifanya ??!
Kwa CCM ni lazimaKwa tabia ya CCM si ajabu waliweka mapandikizi!
Sijuhi ni kwann unajikanyagakanyaga. Unatuambia mpaka kufikia hatua ya kutoa rasimu ni baada ya majadiliano, sawa nakubali. Kwa nini mwisho wa siku uwageuke wenzako kwa mlango wa nyuma hata kama hukukubaliana na walio wengi ndani ya tume juu ya hoja fulani? Tuambie, huyo Warioba na wenzie unadhani wao walikuwa wakibaliana na kila hoja ktk ile rasimu? Jibu ni hapana, kuna sehemu walikuwa wakitofautiana, lakini baada ya rasimu hakuna aliyegeuka wenziwe.nimeeleza sana mwanzoni kwamba, kua katika tume au kamati moja haimanishi mnakubaliana na kila kitu miongoni mwenu..
ukiwa mzalendo utakua willing kuwin in some isues, lakini pia utakua willing to loose on some issues....
na ndivyo ambavyo tume ya katiba na kamati zake mbalimbali waliweza kufikia muafaka hata kuandika ile rasimu...
hapakuwapo aliekua anang"ang"ania jambo fulani ati, liwe kama anavotaka yeye tu, kama ambavyo wale wajumbe wa bunge la katiba walio susa na kutokomea na fedha za walipa kodi walifanya.....
wenye tabia ya kujitoa, kususa, kudekadeka na kuzira wanafahamika....
mtu makini, muungwana, mahiri, mbobevu, mzalendo na mwana demokrasia mkomavu kama yule hawezi kubabaika na kufanya mambo ya fedheha ati kujitoa, kujiuzulu, kukaa kimya au kususa....
kwanza amsusie nani mbaba wa watu yule?
waliotumwa na vyama vyao, na majibu yao mfukoni pekee ndio wanaoweza kufanya hayo mambo ya kuzira na kususa....
Nasikia alitonywa na wavaa suti kuwa ajiandaye kuteuliwa kuwa PM (lkn iwe siri), yeye akaenda kumwambia mkewe. Mkewe akaenda saloon kutangaza halafu habari ikavuja.
Mkapa akabadilisha jina. Yeye kakopa hela huko, akashona suti za maana akashangaa jina linatajwa la Sumaye.
Nyie ni Wahenga.Ni kweli na kumbuka wakati ule aliyekuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa alikuwa mtu wa kwao Rukwa Marehemu Walingozi.
Kazi ya wajumbe wa tume haikuwa kwasilisha maoni yao wenyewe, bali maoni ya wananchi, bila kuongezea maoni yao wenyewe.maoni ya wanainchi ni pamoja na maoni yake mwenyewe, ambayo ndio hayo yanaleta joto kwa wanainchi wengine wanaotofautiana na maoni yake 🐒
wasingetoa maoni yao kuchakata maoni ya wanainchi wasingelipata ile kitabu...Kazi ya wajumbe wa tume haikuwa kwasilisha maoni yao wenyewe, bali maoni ya wananchi, bila kuongezea maoni yao wenyewe.
walosisa bunge la katiba, hawakua wangwana kwao wenyewe binafsi, na kwa wanainchi kama ambavyo pia unaonyesha ungwana wakao kufifia kwa tone, rythm na style ya reply yako inavyo jieleza....Sijuhi ni kwann unajikanyagakanyaga. Unatuambia mpaka kufikia hatua ya kutoa rasimu ni baada ya majadiliano, sawa nakubali. Kwa nini mwisho wa siku uwageuke wenzako kwa mlango wa nyuma hata kama hukukubaliana na walio wengi ndani ya tume juu ya hoja fulani? Tuambie, huyo Warioba na wenzie unadhani wao walikuwa wakibaliana na kila hoja ktk ile rasimu? Jibu ni hapana, kuna sehemu walikuwa wakitofautiana, lakini baada ya rasimu hakuna aliyegeuka wenziwe.
Waliosusa bunge la katiba, hawakukubaliana na uhuni wa kiini macho cha kusigina maoni ya wananchi. Je, waliobaki ndani hawakulipwa, kwann uhoji? Je, kwa kazi ipi walioifanya....na wakati walikuwa wengi wenye uwezo wa kupitisha chochote. Usanii tu na kutumia hovyo fedha ya wavuja jasho.
Anaona ni mafanikio kumbe ujinga!Kwahiyo anafurahia hicho kitendo alichokifanya ??!