Paul Kimiti akiri kuhujumu Katiba ya Joseph Sinde Warioba

Kwenye Baraza la mawaziri atakuwa alikuwa anakubali kila hoja ya Rais na kutikisa kichwa kwa nguvu ili ampendeze!
 
Kueleza ukweli kinagaubaga, bayana tena hadharani, sio usaliti ni ungwana na uzalendrooo wa kiwango cha juu sana [emoji205]
Tlaatlaah, tofautisha unafiki na kueleza ukweli. Kama hasingekuwa kwenye tume ningekubaliana na wewe, lakini aliwezaje kuigeuka ripoti ya tume ambayo na yeye alikuwa sehemu ya hiyo ripoti?
 
Mtu kama huyu anatakiwa akamatwe afungwe, sisi hatuitaki Zanzibar
 
Tlaatlaah, tofautisha unafiki na kueleza ukweli. Kama hasingekuwa kwenye tume ningekubaliana na wewe, lakini aliwezaje kuigeuka ripoti ya tume ambayo na yeye alikuwa sehemu ya hiyo ripoti?
wacha nikufunue fikra kidogo apo. ...

nadhani jambo hili wewe pamoja na wengine wengi wasiokua na ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya mambo haya, wanadhani ati yote yaliyokuwamo kwenye rasimu ya warioba eti wajumbe wote wale walikubaliana nayo 100%. That's wrong, haikua hivyo, na haiko hivyo na haitawahi kua hivyo, that one you must understand..🐒

mnajadiliana, mnaeleweshana, mnaeleweshana, mnarekebishana na completely mnaweza kukubaliana au kutokubaliana kabisa on some issues, but kwa ungwana, utashi na uzalendrooo wenu mnaweza tafuta namna ya kufikia maridhiano na hatimae maafikiano, kwa labda wingi au uchache wa kura za wajumbe mliopo, halafu mnasonga mbele kwenye jambo lingine 🐒

kutokubaliana na jambo fulani si unafiki, huenda ulipotoshwa awali, ama ni slow learner umekuja kuelewa uzuri au ubaya wa jambo hilo na sasa umeerevuka na huwezi kustahimili kuishi kwenye upotovu huo 🐒

ni ambaye hajakomaa kifikra, dhaifu hoja na ushawishi, na mwenye majibu yake mfukoni ndio pekee anaeweza ita maoni, mitazamo au msimamo wa mwingine unafiki, akidhani wote wanafikiri kama yeye, no haipo hivo🐒

The Muzee yuko sahihi, na nadhani ameatract mamilioni ya waTz kuungana na mtazamo wake na hivyo jambo hili kuamuliwa kirahisi sana siku za usoni 🐒
 
Tume haikutakiwa kukubaliana au kutokubaliana na maoni ya wananchi. Kazi ya Tume ilikuwa kukusanya maoni na kuyawasilisha na siyo kuweka mbwembwe zao. Hivyo katika kamati alitakiwa kuwafafanulia wenzake ambao hawakuwa katika Tume nini makundi mbalimbali ya wananchi waliyataka kuingizwa katika katiba mpya.
 


maoni ya wanainchi ni pamoja na maoni yake mwenyewe, ambayo ndio hayo yanaleta joto kwa wanainchi wengine wanaotofautiana na maoni yake 🐒
 
Ripoti ya CAG nayo utaitetea? Au ndio tupotezee
 
Sasa hapo ndio amehujumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…