Siendi kusoma kokote kwani najua sheria ni 1 tu 'we don't play by the books'.Huo Waraka unawahusu employees wa kawaida na SIYO POLITICAL APPOINTEES jamani mbona mnataka kulazimisha mambo. Hebu nendeni mkausome sawasawa na kujua ukweli wa mambo yalivyo.
Huyu anatakiwa kuwekewa pingamizi,utata wa jina,hachomoi!!Daudi Bashite Niko tiyari kufa ila ubunge atumpi kilaza mpaka atuonyeshe vyeti
Nyinyi ndio mnakosea, maana tangu jana Mnyeti kachukua hamjalalamika, leo kachukua Makonda mnalalamika, inaonyesha mna chuki binafsi na Makonda, au na nyie mna double standard?Huyo wa Manyara kawekwa kama kinga tu ili mtoto mpendwa akichukua basi kuwe na visingizio vya kishenzi kama hicho chako..
Hawa wote wasipotenguliwa basi utakuwa ni upendeleo kwa maana yeye mwenyewe alisema viongozi aliowateua wakitaka kugombea waombe ruhusa na yeye atawapa na kuzijaza nafasi zao. Sasa inakuwaje hao wawili hawatenguliwi??
BTW wote ni Wasukuma na serikali hii ni ya kisukuma..
Huyo Jamaa hua ana wimbo wake anaupenda unaimbwa 'NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWEEEE,BWANA YULE NI BABA YANGU ASIYESHINDWA KAMWEEEEEEEE..'Huyu anatakiwa kuwekewa pingamizi,utata wa jina,hachomoi!!
Sasa huyo wa Manyara ndiye mtoto kipenzi kuliko hata huyu wa dar na pia ni mtoto wa 'ndani' kabisaa wa familia ile kubwa.Huyo wa Manyara kawekwa kama kinga tu ili mtoto mpendwa akichukua basi kuwe na visingizio vya kishenzi kama hicho chako..
Hawa wote wasipotenguliwa basi utakuwa ni upendeleo kwa maana yeye mwenyewe alisema viongozi aliowateua wakitaka kugombea waombe ruhusa na yeye atawapa na kuzijaza nafasi zao. Sasa inakuwaje hao wawili hawatenguliwi??
BTW wote ni Wasukuma na serikali hii ni ya kisukuma..
Ataigeuza kigamboni kua 'dubei'.Kumbe ndo Mana alisisitiza wenye yard za magari wahamishie ofisi zao kigamboni..na viwanja viliuzwa huko..kwa Bei nafuu.
Hawajiuzuru wameomba ruhusa wakagombee Rais aliyewateua akatengua uteuzi waoDah hapa ndo jiwe hua anajichanganya. Mbona wengine wote walilazimika kujiuzulu nyadhifa nyingine ili wagombee ubunge huyu imekuaje? Naanza kushawishika kuna jambo la ziada nyuma ya uswahiba wa hawa watu wawili
Kwa hio kwa Makonda hajaona umuhimu wa kutengua sio?Hawajiuzuru wameomba ruhusa wakagombee Rais aliyewateua akatengua uteuzi wao
Juzi Polepole wkt anatangaza ratiba ya kuchukua form huko CCM amewatangazia wabunge ukomo wa ubunge wao ulikua jana.Ni kawaida sana! Mbona hamjahoji kuhusu Rais, wazir mkuu, mawazir ambao bado in wabunge na wanangombea?
CCM ina wenyewe, akina Gambo, Happy, Chalamila na wapiga kelele wengineo wajifunze kupitia hapo. Wakumbuke pia, Shetani hana rafiki.Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
Nyinyi ndio mnakosea, maana tangu jana Mnyeti kachukua hamjalalamika, leo kachukua Makonda mnalalamika, inaonyesha mna chuki binafsi na Makonda, au na nyie mna double standard?
Mawaziri madaraka yao yapo kikatiba, subiri tangazo kwenye gazeti la serikali.Ni kawaida sana! Mbona hamjahoji kuhusu Rais, wazir mkuu, mawazir ambao bado in wabunge na wanangombea?
Ufutwe kabisa zibaki posho...Mshahara wa ubunge upunguzwe uwe laki tano. Na posho iwe 20000 kwa siku.
Hao MABONGE kwenye picha na Bashite ni akina nani Mkuu? Tujadili.RC MAKONDA ACHUKUWA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Julai 15 amechukuwa Fomu ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi CCM.