Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kigamboni, kitendo hicho kinaweza kuibua upya madai yake ya kughushi vyeti vya elimu na nyaraka zingine.

Kuna tuhuma kuwa Paul Makonda alitumia vyeti vya Daud Albert Bashite. Siasa ni mchezo mchafu, inaweza kupelekea kuwekewa pingamizi kwenye Tume ya Uchaguzi au ushindi wake kuja kupingwa mahakamani.

Mwaka 1995 Ramadhan Ali Kihiyo alishinda ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya CCM, baadae NCCR Mageuzi ilienda Mahakamani kupinga kuwa Kihiyo alitumia vyeti visivyo vyake kuwania ubunge. Wakati kesi ikiwa inaendelea Mahakama kuu Kihiyo alijiuzulu ubunge.
Huu uzi unapaswa ujitegemee lakini mods wameshauunganisha..i dont know why..
Pls Mkuu Maxence Melo and your team, tunaomba sana sio kila kitu kiwe kinaungwa..mfano content nzuri ya uzi kama huu inapotea.
 
Kuna mtia nia mmoja wa nafasi ya ubunge kupitia chama fulani, aliwahi kutuhumiwa kutumia cheti kisicho chake katika ajira yake serikalini.

Tuhuma hizi ni wazi hazikuwahi kuchunguzwa,ila kwa ubunge,watu wanaweza kumuwekea pingamizi au hata kwenda mahakamani kama tunavyosoma mitandaoni.

Binafsi naona mtia nia huyu ama hakushauriwa vizuri au alijisahau, ila kwakuwa watu wameanza kuhoji tena kuhusu swala hili,basi huenda atafunguka macho na akili na hatimae kujitoa ili kuepuka aibu unless madaraka yamemlevya kupitiliza.

Plan nyingine inaweza kuwa ni jina lake lisipite ili mambo yaishe bila kuzua maneno mengi.

Akikomaa,basi ajiandae Kuja kuumbuka.
 
Kazi ipo
 
Hizo tuhuma zina ushahidi?
Yes..
Ushahidi upo wa kutosha kabisa..

Ni namna nzuri tu ifanyike ya kuijenga kesi mahakamani..

Ushahidi wa aliosoma nao..shule alizosoma..kijijini alipozaliwa na kukulia..wazazi na ndugu wa kuthibitisha yeye ni Bashite na sio Makonda etc etc..

Hata mwenye jina la Paul Christian Makonda (halisi)yupo..na wakati tuhuma hizi zimeanza alikuwa anafanya kazi katika fm radio moja mkoani Tabora( inamilikiwa na Aden Rage)..

Natarajia swali la kipumbavu litafuata.
 
Kuna mtia nia mmoja wa nafasi ya ubunge kupitia chama fulani, aliwahi kutuhumiwa kutumia cheti kisicho chake katika ajira yake serikalini.

Tuhuma hizi ni wazi hazikuwahi kuchunguzwa,ila kwa ubunge,watu wanaweza kumuwekea pingamizi au hata kwenda mahakamani kama tunavyosoma mitandaoni.

Binafsi naona mtia nia huyu ama hakushauriwa vizuri au alijisahau ila kwakuwa watu wameanza kuhoji tena kuhusu swala hili,basi huenda atafunguka macho na akili na hatimae kujitoa ili kuepuka aibu.

Plan nyingine inaweza kuwa ni jina lake lisipite ili mambo yaishe bila kuzua maneno mengi.

Akikomaa,basi ajiandae Kuja kuumbuka.
Tatizo anaishi na kuamini katika UBABE zaidi..
Hana akili ya kuona hili tatizo..
Nafikiri huu ndio wakati muafaka kwa Wanasheria makini kuijenga hii kesi vizuri mahakamani..
Kule Tume ya Maadili mambo mengi ya hii issue yaliingiliwa na kuvurugwa.
 
RC MAKONDA ACHUKUWA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Julai 15 amechukuwa Fomu ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi CCM.
View attachment 1507556
Sasa ndio wakati wa Bashite kudhihirisha jina lake na elimu yake. Ya Kihiyo yata dhihirika sasa mahakamani.
 
Tatizo anaishi na kuamini katika UBABE zaidi..
Hana akili ya kuona hili tatizo..
Nafikiri huu ndio wakati muafaka kwa Wanasheria makini kuijenga hii kesi vizuri mahakamani..
Kule Tume ya Maadili mambo mengi ya hii issue yaliingiliwa na kuvurugwa.
Alafu watu wakianzisha uzi maalumu kuhusu hii issue mods wanaunganisha!!
 
Yes..
Ushahidi upo wa kutosha kabisa..

Ni namna nzuri tu ifanyike ya kuijenga kesi mahakamani..

Ushahidi wa aliosoma nao..shule alizosoma..kijijini alipozaliwa na kukulia..wazazi na ndugu wa kuthibitisha yeye ni Bashite na sio Makonda etc etc..

Hata mwenye jina la Paul Christian Makonda (halisi)yupo..na wakati tuhuma hizi zimeanza alikuwa anafanya kazi katika fm radio moja mkoani Tabora( inamilikiwa na Aden Rage)..

Natarajia swali la kipumbavu litafuata.
Maswali ya kipumbavu utakutana nayo mahakamani!
 
Kwa mtazamo wangu juu ya suala hili la Makonda Paul kuchukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo la kigamboni ni kwamba yawezekana kabisa Mzee Mkulu alishapanga kutengua uteuzi wake mapema hivyo ili kumfichia hilo kwa mtoto mpendwa ni ikaonekana ni bora akachukue fomu katika jimbo ambalo Ndugulile ndye Gavana.

Mwisho wa siku Makonda atakatwa na atapitishwa Ndugulile hivyo itaonekana Makonda alitenguliwa kwasababu ya kwenda kugombea na sio Makandokando yake.


AKILI KUBWA SANA HII
 
Back
Top Bottom