Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simnaona Mwinyi kapelekwa Zanzibar ????? Mwinyi alikua wa 2025 TZ , sasa wametumia ujanja kumpeleka mwinyi huko, ili 2025 TZ awe ni Bashite au Jiwe kuendelea.Kwa mtazamo wangu juu ya suala hili la Makonda Paul kuchukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo la kigamboni ni kwamba yawezekana kabisa Mzee Mkulu alishapanga kutengua uteuzi wake mapema hivyo ili kumfichia hilo kwa mtoto mpendwa ni ikaonekana ni bora akachukue fomu katika jimbo ambalo Ndugulile ndye Gavana. Mwisho wa siku Makonda atakatwa na atapitishwa Ndugulile hivyo itaonekana Makonda alitenguliwa kwasababu ya kwenda kugombea na sio Makandokando yake.
AKILI KUBWA SANA HII
SawaMkuuDuuh, ni wewe pekee umefanikiwa kupost hii kitu, hongera mkuu, utakua jiniaz balaa.
pata na sodaKiti cha mbele hapa[emoji3578]
Muda utaongeaInaweza kuwa uko sahihi ngoja tuone
Hawezi pita kwa sababu ishu ni namna ya kumtoa kwenye mfumo bila kumchafuaMakonda kajipeleka kwenye moto. Akishinda ubunge yatamkuta ya Kihiyo. Sasa itabidi atoe cheti chake cha form four.
Panatosha, sasa akalime MkuuBashite aliingia kwenye cheo cha "MKUU WA MKOA" alikua choka mbaya hajui hata kuvaa nguo, ila katoka kwenye cheo akiwa tajiri hatari, ana magari binafsi makali kuliko hata rais (Ukiachia magari ya Ikulu).
Upo sahihi kwa asilimia 100 MkuuAtakatwa kuficha issue ya cheti isiibuke upya.
Hiyo idea ya kumtoa kwenye mfumo bila kumchafua ni uongo. Katumbuliwa kwa sababu kachukua form,periodHawezi pita kwa sababu ishu ni namna ya kumtoa kwenye mfumo bila kumchafua
Sawa Mkuu,Umeandika upumbavu,hakuna ujinga kama huu.
NB:mawazo yangu binafsi.
Hiyo sababu ni sababu inayoonekana na kila mwenye macho mawili, ila wenye jicho la tatu tumeshaona sababu iliyojifichaHiyo idea ya kumtoa kwenye mfumo bila kumchafua ni uongo. Katumbuliwa kwa sababu kachukua form,period
I see!Makonda kajipeleka kwenye moto. Akishinda ubunge yatamkuta ya Kihiyo. Sasa itabidi atoe cheti chake cha form four.
Issue ya cheti ni simple coz anaweza kujaza sehemu hiyo ya Elimu kuwa anajua Kusoma na kuandika. Au Cheti cha darasa la 7.. coz ubunge sifa no.1 ni kujua kusoma na kuandika.Makonda kajipeleka kwenye moto. Akishinda ubunge yatamkuta ya Kihiyo. Sasa itabidi atoe cheti chake cha form four.
Ndugulile yupi achukue huyo aliyetaka watanzania wafe kwa korona kwa kumpinga raisi kuwa watu wasijifukizie? Huyo vita ya CORONA alipiga vita watu tusijipige nyungu wakati anajua kabisa hakuna dawa ya corona iliyopo.Kwa mtazamo wangu juu ya suala hili la Makonda Paul kuchukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo la kigamboni ni kwamba yawezekana kabisa Mzee Mkulu alishapanga kutengua uteuzi wake mapema hivyo ili kumfichia hilo kwa mtoto mpendwa ni ikaonekana ni bora akachukue fomu katika jimbo ambalo Ndugulile ndye Gavana. Mwisho wa siku Makonda atakatwa na atapitishwa Ndugulile hivyo itaonekana Makonda alitenguliwa kwasababu ya kwenda kugombea na sio Makandokando yake.
AKILI KUBWA SANA HII