Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daudi Bashite Niko tiyari kufa ila ubunge atumpi kilaza mpaka atuonyeshe vyeti
Angekuwa siyo Bashite, kitendo hiki cha kuchukua fomu ya ubunge maana yake na u RC bye bye saa hiyo hiyo.Hatimaye mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa sana Paul Christian Makonda achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kigamboni.
Wekeni picha basi.
Yaani mtoto pendwa aombe ruhusaAmeomba ruhusa!!!!!
Nisaidieni kuwekaView attachment 1507312
Kwanza amalize utata wa majina yake anaitwa Makonda ama Bashite?Alipima maji ubungo kaona maji marefu kakimbilia kigamboni tunamfata hukohuko kilaza yule..
Kwahiyo atachukua nafasi ya yule mpiga fimboHuyu ndio spika ajaye
Dumb head bashite is the chosen oneBila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Makonda vs Yericko Nyerere