Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?

Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yoote ya Ukuuu Wa Mkoa.

Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.

Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.

Hapana ! Yupo yule wa manyara pia somebody mnyeti sijui
 
Sio peke yake, na MNYETI wa MANYARA
Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?

Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yoote ya Ukuuu Wa Mkoa.

Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.

Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
 
Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?

Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.

Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.

Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Double std
 
Mh. Rais John Pombe Magufuri tunaomba utuone vijana wako wazalendo tusio na vyama tuko mtaani tunataabika hatuna ajira, uwezo tunao nia ipo na ujasiri wa kuwatumikia watanzania upo.

Ombi letu kwako ni kutufikiria katika nafasi ambazo uliowapa wameziona hazifai.

Mh. Rais huu ndio muda muafaka wa kufanya vetting katika serikali ijayo.

Asante sana.
 
Na yule Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto aliyetumbuliwa hagombei!!?
Mwanri naye kachukua fomu Siha kwa Naibu Waziri wa Afya wa sasa.

IMG-20200714-WA0020.jpg
 
Back
Top Bottom