Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni lazima awe na angalau shahada moja ya Sheria kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na TCU
Tatizo ni nini mkuu alishasema anayetaka kugombea aombe ruhusa kwake yeye ameomba ruhusa sasa tatizo lipo wapi kama sio wivu wa kike niniBila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
Hata kama ni mtoto pekee Pendwa uyu kazidi atumbuliwe leoleo
Hii ndio ukisikia kuiga tembo kunya nya unapasuka 😂 😂 😂 😂Chombo ya fundi hii.
Iga ufe
Bado sijaona mgombea anaeweza akausumbua upinzani.ccm wote vilaza wanahanyahanya tu.Mnajisumbua ! cdm na upinzani mweleka mtakaokula mwaka huu sio kidogo
Mkulu alisema mtumishi yoyote atakaegombea ubunge ni tafsiri kuwa haridhiki na cheo alichonacho na ni mtu mbinafsi na atamtumbua hapo hapo na huko atakapotangaza nia atambwaga na ona sasa leo kisu kimegonga mfupa kwakuwa huyu ndie mwanangu mpendwa ninaependezwa nae kwa kuongoza kikosi cha watu wasiojulikana na sasa niko njiapanda nimfanyeje mtoto wangu huyu mtukutu na sasa ameninyea mkono je niukate au sasa sijui iweje maana zoezi la vyeti feki liliishia hapo na mengine mengi na sasa amri yangu hii mpya nayo imeishia leo mtoto wangu keshaleta fungulia mbwa kabla muda sadakalawe amina mwenye kupata apate gombania goli, je huyu kwanini aachiwe wengine waadhibiwe! kweli ngozi nyeusi ni wajinga kichwani tu ila kuna wale wenye matumbo makubwa yaliyonona kwa mafuta yatokanayo na kodi za wanyonge!!
je inapendeza kuendelea na double standards na kuendelea kupoteza heshima yangu kwa wasomi na wazee wa chama ambao deep down in their hearts na wanaponong’ona huniona eti mimi mshamba japo nawanyoosha na wanalima kwa meno na wanaisoma namba nawashangaa wakinisengenya kwenye mazungumzo ya simu zao kuwa mimi ni mshamba naishi mjini ila kijiji hakijanitoka kichwani kama kina Maduhu na Maganga wakati mimi sitembei na redio kaseti kubwa mtaani nikipiga muziki inde monii kwa kelele kubwa? tuheshimiane ndugu zangu na kama ningeweza kuifungia mitandao ningeifunga kweri kweri!!
watu kukaa kimya haimaniishi hawaoni na hawasikii ujinga unaoendelea nchini ni vile tu FFU wanabonda sana!!
Hongera kwake DAB kwa kutangaza nia, kila shetani na mbuyu wake strike the iron while it is hot!! kata pua uunge wajihi Bashite this is your time your Godfather favours you!!
Si uondoke mkuu, unakaaje kweny nchi iliooza unapata kero za mafunza, mambwa na harufu mbaya??
Na yule Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto aliyetumbuliwa hagombei!!?
Alexander Mnyeti wa MANYARA, kachukua tangu janamwingine yupi mkuu? tuhabarishe
Kumbeee!!!!Anapenda makikiii...kamaa msaniii.... hajachukua fomu..
..............ila kapiga picha na fomu.
Alexander Mnyeti wa MANYARA, kachukua tangu janamwingine yupi mkuu? tuhabarishe
Tunamsubiri Rais wetu mpendwa asiyekuwa na upendeleo kuteua mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam na kumwapisha chap chap.
Kabisa mkuu[emoji119][emoji119][emoji119]Chombo ya fundi hii msiiige
Kwani kuchukua fomu ndio unaenda bungeni?
Kuchukua form ni asilimia mia moja ticket ya mjengoni hata uwe Gwajima ukitumia mkanda wako wa ngono kujiuza huku ukishindana na wenzio themanini mliochukua form jimbo moja la Kawe? wakati mbunge wake akiwa kwa babu huko Sumbawanga?Kwa chama chetu pendwa ni 100%