Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika nakataa,hana uwezo huoHuyu ndio spika ajaye
Na Rc wa Kigoma usimsahau pia.Kuna kitu hapo, sasa Gambo CCM haiwezi, ahamie chadema
'.............Inategemea siku hiyo nimeamkaje............' Yesu wa BurigiIla Makonda na Mrisho Gambo wanatofauti gani, kwanini huyu atumbuliwe na yule asitumbuliwe
Wewe mwenyeakili utaemdelea kufuta meza anazomywea mwenyekiti konyagi huku hao unaoita hawana akili wakieendelea kula mema ya nchiBaada ya kuona wasio na akili wengi tu wamekuwa wabunge na wanashangiliwa sana bungeni, kaona anastahili pia
Kwani ameshapitishwa?Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
Ajiuzulu kwani kashinda??Ndiyo hajajiuzulu
Huyo mwingine nani,,,, kama ni Mwanri alishaachia ngazi... Huwezi ukawa kiongozi wa eneo hilo alafu unagombea eneo hilohilo. HAIWEZEKANI.Nyie mburulaz mbona hamuelewi? Kwani ni mkuu wa mkoa peke yake aliye kazini kuchukua fomu? Yule mwingine tangu jana amechukua, kwanini msiseme atumbuliwe? Nyumbu bana
Mbona yeye hajaacha ukuu wa mkoa?Hatimaye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa sana Paul Christian Makonda achukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni.
View attachment 1507357
Enzi za JK Engineer Stella Manyanya pia alishakua na vyeo vingi vingi kwa mpigo.CCM wanaweza kufanya hivyo.....imeshawahi kutokea awamu ya tatu ya mzee Ben....kuna mama aliwahi kuteuliwa ivyo....
Kwani ubunge elimu si kujua kusoma na kuandika mkuu au imechangeDaudi Bashite Niko tiyari kufa ila ubunge atumpi kilaza mpaka atuonyeshe vyeti
Wenye nchi hapana chezea,mwaka wa mavuno.Haya sasa chakubanga ajipange kula matapishi yake
Hiyo inaeleweka, wafuasi na makuwadi wa Idd Amin walikula mema sana pia! Ulaji wa wasio akili na waovu una mwisho mbaya sana!Wewe mwenyeakili utaemdelea kufuta meza anazomywea mwenyekiti konyagi huku hao unaoita hawana akili wakieendelea kula mema ya nchi