Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

Makonda angekuja Ukonga huku ndio watu wanampenda na walikuwa wanamtajataja sana! Au labda anaenda Kigamboni kimkakati
 
Baada ya kuona wasio na akili wengi tu wamekuwa wabunge na wanashangiliwa sana bungeni, kaona anastahili pia
Wewe mwenyeakili utaemdelea kufuta meza anazomywea mwenyekiti konyagi huku hao unaoita hawana akili wakieendelea kula mema ya nchi
 
Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?

Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.

Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.

Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.

Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.

Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.

Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
Kwani ameshapitishwa?
 
H
Nyie mburulaz mbona hamuelewi? Kwani ni mkuu wa mkoa peke yake aliye kazini kuchukua fomu? Yule mwingine tangu jana amechukua, kwanini msiseme atumbuliwe? Nyumbu bana
Huyo mwingine nani,,,, kama ni Mwanri alishaachia ngazi... Huwezi ukawa kiongozi wa eneo hilo alafu unagombea eneo hilohilo. HAIWEZEKANI.
 
CCM wanaweza kufanya hivyo.....imeshawahi kutokea awamu ya tatu ya mzee Ben....kuna mama aliwahi kuteuliwa ivyo....
Enzi za JK Engineer Stella Manyanya pia alishakua na vyeo vingi vingi kwa mpigo.
 
Wewe mwenyeakili utaemdelea kufuta meza anazomywea mwenyekiti konyagi huku hao unaoita hawana akili wakieendelea kula mema ya nchi
Hiyo inaeleweka, wafuasi na makuwadi wa Idd Amin walikula mema sana pia! Ulaji wa wasio akili na waovu una mwisho mbaya sana!
 
Back
Top Bottom