Mkulu alisema mtumishi yoyote atakaegombea ubunge ni tafsiri kuwa haridhiki na cheo alichonacho na ni mtu mbinafsi na atamtumbua hapo hapo na huko atakapotangaza nia atambwaga na ona sasa leo kisu kimegonga mfupa kwakuwa huyu ndie mwanangu mpendwa ninaependezwa nae kwa kuongoza kikosi cha watu wasiojulikana na kuvamia Clouds kwa zana za kivita na ona sasa Mzee Mkubwa niko njiapanda sijui nimfanyeje mtoto wangu huyu mtukutu na sasa ameninyea mkono je niukate au sasa sijui iweje maana zoezi la vyeti feki liliishia hapo kwake na mengine mengi, huyu mwana kazi yake kuniharibia na kunichonganisha tu na wanyonge wangu na ona sasa amri yangu hii mpya nayo imeishia leo mtoto wangu keshaleta fungulia mbwa kabla ya muda sasa ni sadakalawe amina mwenye kupata apate gombania goli, je huyu kwanini aachiwe wengine waadhibiwe! kweli ngozi nyeusi ni wajinga kichwani tu ila wana matumbo makubwa yaliyonona kwa mafuta yatokanayo na kodi za wanyonge!
Je, inapendeza kuendelea na double standards za kutowaadhibu wasukuma wenzangu wanaoniharibia amri zangu na kuendelea kupoteza heshima yangu kwa wasomi na wazee wa chama ambao deep down in their hearts na wanaponong’ona huniona eti mimi mshamba japo nawanyoosha kweri kweri na wanalima kwa meno na wanaisoma namba nawashangaa wakinisengenya kwenye mazungumzo ya simu zao kuwa mimi ni mshamba naishi mjini ila kijiji hakijanitoka kichwani kama kina Maduhu na Maganga wakati mimi sitembei na redio kaseti kubwa mtaani nikipiga muziki inde monii kwa kelele kubwa? tuheshimiane ndugu zangu na kama ningeweza kuifungia mitandao ningeifunga kweri kweri!!
Watu kukaa kimya haimaniishi hawaoni na hawasikii ujinga unaoendelea nchini ni vile tu FFU wanabonda kweeeeri kweri!
Hongera kwake DAB kwa kutangaza nia, kila shetani na mbuyu wake strike the iron while it is hot!! kata pua uunge wajihi Bashite this is your time for your Godfather Karl Peters favours you!!