Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio vizuri kuuliza maswali techniko hivo mkuuRuhusa yake lini ilikubaliwa na mbona "replacement" haijafanyika?
Kongole kwenu Wahaya, Wachaga na Wanyakyusa kwa kuzalisha watumishi wa Mungu wa ukweli.angekuwa siyo Bashite, kitendo hiki cha kuchukua fomu ya ubunge maana yake na u RC bye bye saa hiyo hiyo.
lakini ni Bashite, atabaki kuwa Bashite.
nawashangaa sana wanaojiita maaskofu na mashehe wanaiona hii lopsidedness lakini wanawakumbatia hawa wanafiki madhabahuni mwao mchana kweupe.
aliyesema "maaskofu waliopo Tanzania ni Bagonza, Shoo na Mwamakula.... wengine waliobaki ni wajasiriamali wa kidini" hakukosea hata kidogo!
We subiri utaonaKwahiyo atachukua nafasi ya yule mpiga fimbo
MwanriIla makonda na mrisho gambo wanatofauti gani, kwanini huyu atumbuliwe na yule asitumbuliwe
Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
We subiri utaonaKwahiyo atachukua nafasi ya yule mpiga fimbo
Kweli kabisa see lina matatizo sanaHahaha muone double standard za jiwe sasa. Zee lina matatizo lile
Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni lazima awe na angalau shahada moja ya Sheria kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na TCUHuyu ndio spika ajaye
..JPM asipoteua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam hakika itakuwa ni zaidi ya....!
Angekuwa siyo Bashite, kitendo hiki cha kuchukua fomu ya ubunge maana yake na u RC bye bye saa hiyo hiyo.
lakini ni Bashite, atabaki kuwa Bashite.
Nawashangaa sana wanaojiita maaskofu na mashehe wanaiona hii lopsidedness lakini wanawakumbatia hawa wanafiki madhabahuni mwao mchana kweupe.
Aliyesema "maaskofu waliopo Tanzania ni Bagonza, Shoo na Mwamakula.... wengine waliobaki ni wajasiriamali wa kidini" hakukosea hata kidogo!
Kama like alifanyalo watu wanapiga makofi,kwanini awe na hofu?..JPM asipoteua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam hakika itakuwa ni zaidi ya....!
Mwanri, Gambo?Kwani ni mkuu wa mkoa peke yake kuchukua fomu? Mbona wengine hamuwasemi?