Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

Lakini ili uwe mbunge kipindi hiki huhitaji kuwa na cheti chochote. Ili mradi ujue kusona na kuandika kiswahili... INATOSHA SANA
Yap. Ila pia usijaze taarifa za uongo. Issue ni taarifa za uongo.
 
Hapa manake akishinda mtu anaweza kumshtaki kwa kughushi. Au kuweka pingamizi atapoteuliwa

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Atamshkaki kama atakuwa kaweka vyeti feki vilivyomwongezea sifa ya kuchaguliwa.

Asipoweka, basi tena. Mitanzania ndivyo tulivyo. Mbunge ajue kusoma na kuandika, dereva lazima awe na elimu ya kidato cha nne.
 
Jana Paul Makonda naye amechukua fomu kuharibu bahati kwenye kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM . Ni nafasi na haki yake kidemokrasia. Hapa Ni patamu kwa sababu Ni Kati ya MARC walionyesha ukatili wa wazi dhidi ya vyama vya upinzani. Leo naye anahitaji kura kwa wale aliyokuwa akiwapiga marufuku kufanya siasa Hadi kuwaambia baadhi wasithubutu kukanyaga mkoani kwake.

Leo hii anagombea bila manodigadi na msafara wa jeshi la polisi. Atakuwa peke yake kwenye jukwaa, na safari atanyenyekea kwa watu aliowavuruga ama kuingilia masuala yao ya ndoa.

Huyu ndiye Makonda aliyekuwa anatoa ahadi zisizotimilka na kuleta mizozo ya kimataifa kwa kauli zake Tata za kibaguzi. Atasimama na upinzani na labda tutegemee miujiza za kuwablock wapinzani kuwahujuma la sivyo Makonda atakuwa kivutio kwenye kampeni.
 
Nani kasema majaliwa ndio wa 2025
 
Muda wa kisasi umewadia...ataogopa mpaka kivuli chake...amkeni kawa raia wa kawaida (Polepole voice)
 
Muda wa kisasi umewadia...ataogopa mpaka kivuli chake...amkeni kawa raia wa kawaida (Polepole voice)
Kwa sisi wakristo visasi si juu yetu Mungu ndio mlipaji na amekufanyia nini mpaka umnenee ubaya kiumbe mwenzio mwombee atende ya kumpendeza Mungu
 
Mkuu wa mkoa Dar ana fulsa nyingi sana kuliko kuwa mbunge wa Jimbo je ni kwa nini mkuu wa mkoa aliyepita alichukua maamuzi haya magumu.
 
Katika hili simlaumu Makonda, kama kijana alijiona ana nafasi ya kuangalia fursa upande wa pili. Maisha bila mabadiliko yana chosha hasa kwa watu wenye vision kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…