Sijawahi kublock mtu. Ila nahisi unakuwa wa kwanza. Bibi nimekuzalia wazazi wako? Last warning.Kwan amekwambia atajaza data za uongo? Hebu mwambie akutumie usafiri uende masaki kumsaidia kujaza form bi kigagula[emoji2][emoji2]
Yap. Ila pia usijaze taarifa za uongo. Issue ni taarifa za uongo.Lakini ili uwe mbunge kipindi hiki huhitaji kuwa na cheti chochote. Ili mradi ujue kusona na kuandika kiswahili... INATOSHA SANA
[emoji16][emoji16][emoji16] Tulia wewee.Sijawahi kublock mtu. Ila nahisi unakuwa wa kwanza. Bibi nimekuzalia wazazi wako ?last warning.
Wewe rudia uone.[emoji16][emoji16][emoji16] tulia wewee.
Bas mama sirudii Tena[emoji28][emoji28]Wewe rudia uone.
Hakika hatajaza za uongo, yasije yakamtokea ya Kihiyo.Yap. Ila pia usijaze taarifa za uongo. Issue ni taarifa za uongo.
Atamshkaki kama atakuwa kaweka vyeti feki vilivyomwongezea sifa ya kuchaguliwa.Hapa manake akishinda mtu anaweza kumshtaki kwa kughushi. Au kuweka pingamizi atapoteuliwa
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
HakikaMuda utaongea
Nani kasema majaliwa ndio wa 2025USIJIDANGANYE...jiwe anajua kabisa usalama wa makonda nje ya mfumo ni mdogo kama ulivo kwa Mwananchi wa kijijin huko ndani ndani.
Usalama wa Bashite kwa aliyoyafanya kipindi chake chote kunamhitaji awepo mtu wa kumuhakikishia.
Hii inamaa, Ili mradi Jiwe yupo, Bashite ataeendelea kua kwa mfumooooo .... hata jiwe asipoongezewa muda, atakayefuata ni Bashite au mwingine lkn Bashiteataendelea kua kwa mfumo.
Simnaona Mwinyi kapelekwa Zanzibar ????? Mwinyi alikua wa 2025 TZ , sasa wametumia ujanja kumpeleka mwinyi huko, ili 2025 TZ awe ni Bashite au Jiwe kuendelea.
Kwa sisi wakristo visasi si juu yetu Mungu ndio mlipaji na amekufanyia nini mpaka umnenee ubaya kiumbe mwenzio mwombee atende ya kumpendeza MunguMuda wa kisasi umewadia...ataogopa mpaka kivuli chake...amkeni kawa raia wa kawaida (Polepole voice)
Tukimaliza uchaguziHuu ni muda muafaka Jokate akabidhiwe Mkoa wa Dar