USIJIDANGANYE...jiwe anajua kabisa usalama wa makonda nje ya mfumo ni mdogo kama ulivo kwa Mwananchi wa kijijin huko ndani ndani.
Usalama wa Bashite kwa aliyoyafanya kipindi chake chote kunamhitaji awepo mtu wa kumuhakikishia.
Hii inamaa, Ili mradi Jiwe yupo, Bashite ataeendelea kua kwa mfumooooo .... hata jiwe asipoongezewa muda, atakayefuata ni Bashite au mwingine lkn Bashiteataendelea kua kwa mfumo.
Simnaona Mwinyi kapelekwa Zanzibar ????? Mwinyi alikua wa 2025 TZ , sasa wametumia ujanja kumpeleka mwinyi huko, ili 2025 TZ awe ni Bashite au Jiwe kuendelea.