Utaendelea kuota mwisho mbaya mpaka unaingia kabirini,!Hiyo inaeleweka, wafuasi na makuwadi wa Idd Amin walikula mema sana pia! Ulaji wa wasio akili na waovu una mwisho mbaya sana!
INAWEZEKANA, na huyo mwingine ni ALEXANDER MNYETI WA MANYARA, amechukua fomu tangu janaH
Huyo mwingine nani,,,, kama ni Mwanri alishaachia ngazi... Huwezi ukawa kiongozi wa eneo hilo alafu unagombea eneo hilohilo. HAIWEZEKANI.
Tena asubuhiWasiemtaka kaja. Makonda anachukua jimbo mapema mno...
Pole hautaaminiMnajisumbua ! cdm na upinzani mweleka mtakaokula mwaka huu sio kidogo
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Hatimaye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa sana Paul Christian Makonda achukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni.
View attachment 1507357
KWA SABABU NA YEYE NI MSUKUMAMbona Mnyeti hajajiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
But who you knowKatika harakati za kuusaka uwaziri, hii ndio Africa, it doesn't matter what you know...!!!
Amechukua fomu tayari ila naona akili yake haipo sawa alikuwa anaongea havielewekiNa yule Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto aliyetumbuliwa hagombei!!?
Godwin GondweJokate anaweza chukua jiji hili
Na hapo ndipo atakapopatikana mkubwa ambae anavikwazo vya US na ndipo itakua ni Zimbabwe mpya.Huyu jamaa namtabiria kuwa ndiye atachukua nafasi ya Jaffo katika Wizara ya Tamisemi maana ndiye anaandaliwa kwa nafasi kubwa zaidi
KWA SABABU NA YEYE NI MSUKUMA