Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Idd Amin pia alikuwa kikatiba kama Jiwe tu! Umepumbwazwa na mahaba tu, Jiwe = Idd AminUtaendelea kuota mwisho mbaya mpaka unaingia kabirini,!
Hao unaowafanansiha na kina Id amin wapo kikatiba siyo kihisia za ki Idd amin
Huo waraka unawahusu watumishi wanyonge,watumishi dizaini ya Makonda,Mnyeti huo waraka kwao ni kama kijarida tu kama cha gazeti la Shigongo.Kwa mujibu wa waraka wa utumishi unaohusu watumishi wa umma wanaotaka kugombea ubunge ni kuwa mtumishi atajiuzuru utumishi wa umma mara atakapoteuliwa na chama chake kugombea ubunge haya mengine yaliyotokea ni jinsi aliyewateua alivyoamka kumbuka hivi vyeo vya uteuzi kuendelea na vyeo hivyo inatengemea atakavyoona inafaa
Halafu Wala hashitukagi...Jiwe huwa anakuwaga na double standard za wazi sana.
Hatua hii ni ya KUTIA NIA TU! Baada ya hapo wataingia kwenye KURA ZA MAONI ndani ya CCM, halafu mchakato utaenda hadi kwenye ngazi husika ya UTEUZI ndani ya CCM, kama akiteuliwa na CCM kugombea huko alikotilia NIA basi hapo ndipo atabidi ajiuzulu na kuachia madaraka na mamlaka aliyo nayo.Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
Halafu Wala hashitukagi...
Kulikuwa na matatu mkuu mbona msahaulifu sana wewe unaniboa , alisema aombe ruhusa na aachie ngazi kwa maana si mtu mwenye kuridhika , ni mbinafsi !!Tatizo ni nini mkuu alishasema anayetaka kugombea aombe ruhusa kwake yeye ameomba ruhusa sasa tatizo lipo wapi kama sio wivu wa kike nini
Yes huyu ndiyo mpakwa mafuta wa Dar-es-salaam hadi 2025Godwin Gondwe
Hatimaye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa sana Paul Christian Makonda achukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni.
[/QUOT
Sio kweli kaka.Tena kwa heshima kabisa usipotoshe umma.Kitendo tu Cha kuonesha kuwa unaenda kunihusisha na chama Fulani Cha siasa Ni kwamba kabla inatakiwa kuacha kazi,madaraka yako.Hii Ni kwa sababu mkuu wa mkoa anahudumia watu wa vyama Vyote.Hatua hii ni ya KUTIA NIA TU! Baada ya hapo wataingia kwenye KURA ZA MAONI ndani ya CCM, halafu mchakato utaenda hadi kwenye ngazi husika ya UTEUZI ndani ya CCM, kama akiteuliwa na CCM kugombea huko alikotilia NIA basi hapo ndipo atabidi ajiuzulu na kuachia madaraka na mamlaka aliyo nayo. Na huu utaratibu ni kwa wote walioko ndani ya utumishi wa umma kupitia Serikali hii. Linawahusu wote siyo Makonda tu. Nadhani elimu imefika ili kuepusha upotoshaji wa kihafidhina wenye lengo la kupotosha wana Dar-es-Salaam!
Ngoja tumuite aje atuambie atapiga vp kampeni huku akiwa mkuu wa mkoa?
Na je huu ndo ule mwanzo wa uwaziri wa mambo ya ndani waliyopanga kwenye vikao vyao vya kihuni?
Vp akiwa mbunge ataendelea na uvamizi wa studio za watu?
Njoo huku mheshimiwa mbingunikwetu utujibu
urais ni jalala ni kazi ngumu na ina mambo mengi Mkulu hawezi kushtuka anapobugi na wasaidizi nao hawamshtui! anapobugi senior members wenzake wanaishia kumsengenya tu wakisema ‘jamaa hata hajui anasema huko mali mali, wakati ni Cameroon’!! wasaidizi wa mkulu wamekunja mikia yao wanaogopa ukimshtua leo umwambie mkuu umefeli kule na pale hujui kesho ataamkaje!! akiamka nawewe umeenda Meku, aika ruwa Yesu na Maria!!Halafu Wala hashitukagi...
Kanisa jipya la waumini mseto linazidi kukua. Kikubwa ni mapambioAngekuwa siyo Bashite, kitendo hiki cha kuchukua fomu ya ubunge maana yake na u RC bye bye saa hiyo hiyo.
lakini ni Bashite, atabaki kuwa Bashite.
Nawashangaa sana wanaojiita maaskofu na mashehe wanaiona hii lopsidedness lakini wanawakumbatia hawa wanafiki madhabahuni mwao mchana kweupe.
Aliyesema "maaskofu waliopo Tanzania ni Bagonza, Shoo na Mwamakula.... wengine waliobaki ni wajasiriamali wa kidini" hakukosea hata kidogo!
Nimekuelewa Mkuu.urais ni jalala ni kazi ngumu na ina mambo mengi Mkulu hawezi kushtuka anapobugi na wasaidizi nao hawamshtui! wanaogopa ukimshtua leo hujui kesho ataamkaje!! akiamka nawewe umeenda Meku, aika ruwa Yesu na Maria!!
Inawezekana aliomba ruhusa hajajibiwa so akasema come what may.Utaona maama halisi ya double standards. Huyu kaomba "ruhusa" sijui atapewa.
[emoji848][emoji848][emoji848]Daudi Bashite Niko tiyari kufa ila ubunge atumpi kilaza mpaka atuonyeshe vyeti
Raha ya kuwa Mtoto wa mwenye nyumba,hauwezi kulinganisha na watoto wa majirani.Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??