Paul Makonda adaiwa kumtishia Maisha Salaah wa GSM. Polisi waogopa kumchukulia hatua Makonda

Acheni Ramli na kutunga vihabari vya uzushi na uongo tu hapa.
 
JF imekuwa sehemu ya hadithi za Shigongo. Kweli maisha yanabadilika haraka sana.
 
Mashoga wanakuaga na mental illness shahawa zinaletaga kitu kama kichaa cha mbwa,

Haya ndo matatizo ya bashite

Ulaaniwe mzee six kwa kumuanza huyu kijana huko nyuma palishatoboka zamani

Bashite anatia huruma sana.
 
Mafia kwa wazazi wake lakini siyo kwa Taifa letu.Mheshimiwa Makonda ni Sauti ya watanzania anayeungwa mkono na mamilioni ya watanzania. hamuwezi kumchafua kwa vihabari vya kutunga na kuzusha hapa.
Unamjua Salaa lakini??
Au Unamsikia??
Salaah sio Mtu wa kumchezea namjua vizuri Ni mtu wa Visasi sana pengine humjui au unamsikia Leo..

Katika waarabu wenye Roho chafu bhasi huyu nahisi ndo miongoni mwao
 
Bashite bashite bashite, nimekutaja Mara tatu! Siku yako IPO! Kama tuliweza kumtuliza kamanda wa polisi Barrow, sembuse hii kenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…