Paul Makonda adaiwa kumtishia Maisha Salaah wa GSM. Polisi waogopa kumchukulia hatua Makonda

Paul Makonda adaiwa kumtishia Maisha Salaah wa GSM. Polisi waogopa kumchukulia hatua Makonda

Haya jamani mpo?? Sasa ni hivi Bashite hajabadilika hata kidogo.

Kumbukeni mwaka jana kulikuwa na story kubwa ya Bashite kung’ang’ania nyumba aliyompora GSM kipindi cha Magu? Kama mnakumbuka hata majuzi tu Bashite aliongea kuwa na yeye kadhulumiwa nyumba, alikuwa anamuongelea yüke GSM wa Yanga. Sasa ni hivi aliesimamia zoezi zima la Bashite kuachia nyumba aliyowapora ni mdogo wake GSM Salaah . By the way nyumba anayoililia Bashite sio nyumba ya kitoto, nyumba ina lifti ndani.

Sasa ni hivi last week huyu Salaah alikuwa anafanya hayo mazoezi ya baskeli huko Masaki barabarani, na Bashite nae akawa anafanya mazoezi ya mguu yani kama ana powerwalk huku ndinga kubwa ya CCM inamfata nyuma.

Sasa out of nowhere gari iliyokuwa inamfata Bashite nyuma ikataka kumgonga Salaah,Salaah kama akakwepa na baiskeli yake then aka shout like wewe hunioni? Mbona huangalii watu barabarani? Basi dereva hakujibu akaenda mbele kama kuongea na Bashite then gari likarudi spidi likamblock Salaah kwa mbele, dereva akashuka akaanza kumchimba biti mdogo wake GSM sasa, wewe unamjua mwenye hii gari?! Unajua mimi namwendesha nani? Salaah akajibu kama unataka kunifanya lolote we fanya Ila mimi nimekwambia tu angalia barabarani. Basi dereva akachimba biti zaidi pale then akaondoka.

Sasa kuna kisehemu wanaendaga kula mishkaki baada ya mazoezi huyo Salaah baada ya kupata huo msala akaenda kula hapo mishkaki, hajakaa dakika mbili Bashite huyo kaingia hapo Kwenye hiko kisehemu, straight moja kwa moja kamfata Salaah, We dogo wewe, jiangalie sana unavyoishi mjini. Unanijua mimi nani? Mi naweza kukufanya chochote na huna chankunifanya. Mimi naweza kukupoteza muda wowote. Aisee mbele za watu Bashite anatoa vitisho.

Yule Salaah akapandisha mashetani ya kiarabu, weee akaruka kama swala hapo alipokuwa amekaa akamwambia Bashite, usinitishie maisha kama unataka kuniua niue, ila kukuogopa tena kama kipindi kile sifanyi tena, wewe amua unachotaka. Weeeee, Bashite nae akajifanya anapadisha wakataka kushikana mashati ndo watu kuwaamua.

Yule Salaah kafungua kesi polisi ya kutishiwa kuuawa ila polisi kimya maana mshtakiwa ni Bashte, wanaanzaje kum detain mwenezi wa CCM?
Mpe credit Mange Kimambi si ndio umeiba huko content!
 
Haya jamani mpo?? Sasa ni hivi Bashite hajabadilika hata kidogo.

Kumbukeni mwaka jana kulikuwa na story kubwa ya Bashite kung’ang’ania nyumba aliyompora GSM kipindi cha Magu? Kama mnakumbuka hata majuzi tu Bashite aliongea kuwa na yeye kadhulumiwa nyumba, alikuwa anamuongelea yüke GSM wa Yanga. Sasa ni hivi aliesimamia zoezi zima la Bashite kuachia nyumba aliyowapora ni mdogo wake GSM Salaah . By the way nyumba anayoililia Bashite sio nyumba ya kitoto, nyumba ina lifti ndani.

Sasa ni hivi last week huyu Salaah alikuwa anafanya hayo mazoezi ya baskeli huko Masaki barabarani, na Bashite nae akawa anafanya mazoezi ya mguu yani kama ana powerwalk huku ndinga kubwa ya CCM inamfata nyuma.

Sasa out of nowhere gari iliyokuwa inamfata Bashite nyuma ikataka kumgonga Salaah,Salaah kama akakwepa na baiskeli yake then aka shout like wewe hunioni? Mbona huangalii watu barabarani? Basi dereva hakujibu akaenda mbele kama kuongea na Bashite then gari likarudi spidi likamblock Salaah kwa mbele, dereva akashuka akaanza kumchimba biti mdogo wake GSM sasa, wewe unamjua mwenye hii gari?! Unajua mimi namwendesha nani? Salaah akajibu kama unataka kunifanya lolote we fanya Ila mimi nimekwambia tu angalia barabarani. Basi dereva akachimba biti zaidi pale then akaondoka.

Sasa kuna kisehemu wanaendaga kula mishkaki baada ya mazoezi huyo Salaah baada ya kupata huo msala akaenda kula hapo mishkaki, hajakaa dakika mbili Bashite huyo kaingia hapo Kwenye hiko kisehemu, straight moja kwa moja kamfata Salaah, We dogo wewe, jiangalie sana unavyoishi mjini. Unanijua mimi nani? Mi naweza kukufanya chochote na huna chankunifanya. Mimi naweza kukupoteza muda wowote. Aisee mbele za watu Bashite anatoa vitisho.

Yule Salaah akapandisha mashetani ya kiarabu, weee akaruka kama swala hapo alipokuwa amekaa akamwambia Bashite, usinitishie maisha kama unataka kuniua niue, ila kukuogopa tena kama kipindi kile sifanyi tena, wewe amua unachotaka. Weeeee, Bashite nae akajifanya anapadisha wakataka kushikana mashati ndo watu kuwaamua.

Yule Salaah kafungua kesi polisi ya kutishiwa kuuawa ila polisi kimya maana mshtakiwa ni Bashte, wanaanzaje kum detain mwenezi wa CCM?
Salaah na mwenyewe muoga hadi anaenda polisi?. Mbona humu kuna nyuzi kibao salaah kuwa anawafanyia unyama vijana hapo kkoo.
 
Haya jamani mpo?? Sasa ni hivi Bashite hajabadilika hata kidogo.

Kumbukeni mwaka jana kulikuwa na story kubwa ya Bashite kung’ang’ania nyumba aliyompora GSM kipindi cha Magu? Kama mnakumbuka hata majuzi tu Bashite aliongea kuwa na yeye kadhulumiwa nyumba, alikuwa anamuongelea yüke GSM wa Yanga. Sasa ni hivi aliesimamia zoezi zima la Bashite kuachia nyumba aliyowapora ni mdogo wake GSM Salaah . By the way nyumba anayoililia Bashite sio nyumba ya kitoto, nyumba ina lifti ndani.

Sasa ni hivi last week huyu Salaah alikuwa anafanya hayo mazoezi ya baskeli huko Masaki barabarani, na Bashite nae akawa anafanya mazoezi ya mguu yani kama ana powerwalk huku ndinga kubwa ya CCM inamfata nyuma.

Sasa out of nowhere gari iliyokuwa inamfata Bashite nyuma ikataka kumgonga Salaah,Salaah kama akakwepa na baiskeli yake then aka shout like wewe hunioni? Mbona huangalii watu barabarani? Basi dereva hakujibu akaenda mbele kama kuongea na Bashite then gari likarudi spidi likamblock Salaah kwa mbele, dereva akashuka akaanza kumchimba biti mdogo wake GSM sasa, wewe unamjua mwenye hii gari?! Unajua mimi namwendesha nani? Salaah akajibu kama unataka kunifanya lolote we fanya Ila mimi nimekwambia tu angalia barabarani. Basi dereva akachimba biti zaidi pale then akaondoka.

Sasa kuna kisehemu wanaendaga kula mishkaki baada ya mazoezi huyo Salaah baada ya kupata huo msala akaenda kula hapo mishkaki, hajakaa dakika mbili Bashite huyo kaingia hapo Kwenye hiko kisehemu, straight moja kwa moja kamfata Salaah, We dogo wewe, jiangalie sana unavyoishi mjini. Unanijua mimi nani? Mi naweza kukufanya chochote na huna chankunifanya. Mimi naweza kukupoteza muda wowote. Aisee mbele za watu Bashite anatoa vitisho.

Yule Salaah akapandisha mashetani ya kiarabu, weee akaruka kama swala hapo alipokuwa amekaa akamwambia Bashite, usinitishie maisha kama unataka kuniua niue, ila kukuogopa tena kama kipindi kile sifanyi tena, wewe amua unachotaka. Weeeee, Bashite nae akajifanya anapadisha wakataka kushikana mashati ndo watu kuwaamua.

Yule Salaah kafungua kesi polisi ya kutishiwa kuuawa ila polisi kimya maana mshtakiwa ni Bashte, wanaanzaje kum detain mwenezi wa CCM?
Vijiweni kila mtu ni mjuaji,
story za huko si za kuziamini!!
 
Unamjua Salaah??
Unafikir kwanini Makonda mpaka leo anamuogopa GSM??
Si alimnyanganya ile Nyumba??
Na akashinda mahakamni??
Mbona ile nyumba makonda anayoidai haichukui??
Hawa Jamaa sio watu ni Viumbe vya ajabu vyenye umbo la binadamu na Wana mitandao mizito mnoo huyu Mwenezi ni bonge la Mshamba tu bora atumikie Chama sio kujiingiza kwenye mabifu na Hawa Jamaa. Yule Kaka Yao aliyemwagiwa tindikali ? Pamoja na kuugua kwa muda mrefu alipokuja kupona lakini wale walio lifanya lile tukio wote walikufa.
 
Hawa Jamaa sio watu ni Viumbe vya ajabu vyenye umbo la binadamu na Wana mitandao mizito mnoo huyu Mwenezi ni bonge la Mshamba tu bora atumikie Chama sio kujiingiza kwenye mabifu na Hawa Jamaa. Yule Kaka Yao aliyemwagiwa tindikali ? Pamoja na kuugua kwa muda mrefu alipokuja kupona lakini wale walio lifanya lile tukio wote walikufa.
Ni jamaa hatari sana hawa
 
Ni jamaa hatari sana hawa
Mkuu ninachoandika sio Cha kusoma mitandaoni ila ni wale watu ambao wamefanya kazi tena nyumbani kwa Boss kaka aisee Hawa Jamaa ni Creatures Hawa, tena Jamaa yangu alidhurumiwa Dola 600 akatafuta Mganga amroge Boss Kaka yule Jamaa ni Mwamba sana akamwambia Hawa sio viumbe wa kawaida labda mpaka niende Congo Milimani Nika unlock pattern zao na bado Hawa huwezi kuwafanya chochote, yule Mganga CV yake sio ya kitoto alimwambia Jamaa hivyo. Na huyo Jamaa alililetwa na Mbunge Fulani kipindi kile Cha mambo ya ESCROW. Huyu muenezi anajipoteza Mwenyewe tu na ndugu zake na uzao wake
 
Mkuu ninachoandika sio Cha kusoma mitandaoni ila ni wale watu ambao wamefanya kazi tena nyumbani kwa Boss kaka aisee Hawa Jamaa ni Creatures Hawa, tena Jamaa yangu alidhurumiwa Dola 600 akatafuta Mganga amroge Boss Kaka yule Jamaa ni Mwamba sana akamwambia Hawa sio viumbe wa kawaida labda mpaka niende Congo Milimani Nika unlock pattern zao na bado Hawa huwezi kuwafanya chochote, yule Mganga CV yake sio ya kitoto alimwambia Jamaa hivyo. Na huyo Jamaa alililetwa na Mbunge Fulani kipindi kile Cha mambo ya ESCROW. Huyu muenezi anajipoteza Mwenyewe tu na ndugu zake na uzao wake
Mkuu nawajua Vizuri hiyo familia..
Ndo maana Nimemuuliza Jamaa unawajua Vizuri hao watu Offcamera au Offsocial au anawasikia na kuwaona na sura ya upole mbele za watu anahisi wana roho nzuri ni makatili sana..
 
Mkuu nawajua Vizuri hiyo familia..
Ndo maana Nimemuuliza Jamaa unawajua Vizuri hao watu Offcamera au Offsocial au anawasikia na kuwaona na sura ya upole mbele za watu anahisi wana roho nzuri ni makatili sana..
Wale sio watu Mkuu, Mwenezi wanamchukulia timing tu na Wana roho mbaya mnoo. Kama Boss kaka hata kuongea hana time kabisa muda wote kimya na amefeki sura kma mtakatifu fulani 😅
 
Back
Top Bottom