Paul Makonda Afanyiwa Maombi Na Mtume Boniface Mwamposa.Atahadharisha Walaghai wanaotumia Neno La Mungu Kuwarubuni Watu.

Sihitaji hotuba nzima, nitafsirie hicho kipande alikua anamaanisha nini huyu mheshimiwa
Matapeli na walaghai hawahitajiki katika Dini.Tunahitaji watu wanaolihubiri neno la Mungu na uwe umeitwa kweli na Mungu kufanya kazi yako.na siyo kufanya janja janja tu
 
Alikufanyia dhuluma gani.
Siyo lazima anifanyie dhuluma mimi! Ila kama ameua na kujeruhi watu kupitia cheo chake! Amedhulumu mali za watu wengine mfano magari ya kifahari, pesa taslimu, viwanja, nk. kupitia cheo chake! Tayari anakuwa moja kwa moja kwenye kundi la wauaji, matapeli na dhulumati.
 
Hata angefanyiwa maombi na Wachungaji wote dunia nzima,kama kweli alidhurumu haki za kuishi za watu,SULUHU NI TOBA TU!
 
Reactions: M45
Chadema wana Boni Yai na CCM wana Boni Yai Viza
 
Huyo anayewauzia watu udongo eti Toka Israel bila kodi?
Huyo aliyenunua masemi yakusambaza maji ya upako yauzwayo bilakodi?
Huyo anayeuza mafuta yakula tukopo tudogo buku bilakodi?
Huyo anayeuza vipeperushi kanisani bilakodi?
Huyo anayejenga mahoteli ya kifahari kwao mbeya?
Huyo aliyeacha mke nasasa anaishi na mwanamke mdogomdogo bila kutuambia kama ni mkewe wandoa?
Huyo anayechukuwa viongozi wa kanisa nduguze huko mbeya???
Fungueni macho mumwabudu Mungu kwa hekima na maarifa... 🙏🏾
 
Weka ushahidi wako
 
Naona umeandika uzushi mtupu.
 
Weka ushahidi wako
Ungekuwa unaishi mjini, usingeomba ushahidi zaidi ya huo nilio uweka hapo juu. Bahati mbaya unaishi Mbozi ndani ndani huko.
Ukiamka asubuhi ni kula tu ugali na maharage, halafu ukishiba sasa ndiyo unakuja na mada zako za kuwasifia akina Makonda.
 
Members wanaombeana.
 
Naona umeandika uzushi mtupu.
Ukiwa lichawa huwezi ona wala kuelewa...hata machawa ya pafidada saivi ndipo yanashtuka kuwa yalibakwa yenyewe yalijua yanastarehe!!!
Nenda kaangaze ukatoe sadaka ya kujimaliza ulalee njaa mwenzio akajenge mahoteli ya nyota nne kwao mbeya!!
Kwanini nayeye asijimalize akasaidia kujenga mahospitali,mashule,vituko vya yatima nk.
Majinga ndiyo ugaliwao sio wali Tena!!
 
Muhimu sana kwake ni kuwatafuta aliowakwaza na kuwaomba msamaha ili toba yake ipokelewe vema na Mwenyezi Mungu. Kuomba peke yako bila kuwaona uliowakwaza haina majibu kamili. Binadamu mwezako ni Mungu wa pili hivyo ukimkwaza ukamuomba msamaha na akakusamehe hata mbinguni umesamehewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…