Paul Makonda Afanyiwa Maombi Na Mtume Boniface Mwamposa.Atahadharisha Walaghai wanaotumia Neno La Mungu Kuwarubuni Watu.

Paul Makonda Afanyiwa Maombi Na Mtume Boniface Mwamposa.Atahadharisha Walaghai wanaotumia Neno La Mungu Kuwarubuni Watu.

Ndugu zangu Watanzania,

Mkuu wa Mkoa Wa Arusha Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara .Amefanyiwa Maombi Na Mtumishi wa Mungu Mtume Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka Uangaze.

Ambapo Mwamba huyo na jabali La siasa hapa Nchini na ambaye amekuwa Kipenzi cha watanzania na ambaye Nyota yake imeendelea kuwaka Muda wote ,ametoa tahadhari na kuwatahadharisha Watanzania kujiepusha kabisa na watu wanaotumia Neno la Mungu na mavazi ya viongozi wa Dini katika kuwarubuni wananchi na kujipatia ukwasi na utajiri.

Amesema wapo watu wanajiita viongozi wa Dini wanaukwasi mkubwa kupitia Dini,ambapo ukichunguza vizuri unaona hawahubiri na kumhubiri Yesu kristo,bali wanafanya kulitumia tu jina na neno la Mungu kujitajirisha na hawa utawajuwa kwa matendo yao.

Mwamba Mwenyewe Paul Makonda Ambaye siku zote amekuwa akimtumainia Mungu na kuwaheshimu sana viongozi wa Dini zote na wa Madhehebu yote, Amemmiminia sifa na pongezi Mtumishi wa Mungu Mtume Boniface Mwamposa Kuwa ni Mtumishi wa Mungu wa kweli na ambaye amekuwa akilihubiri neno la Mungu wakati wote Mwanzo mpaka mwisho wa mahubiri yake.

Na kwamba watu wote ni mashuhuda wa kazi njema na nzuri inayofanywa na Mtume huyo kwa watu . Mwamba Mwenyewe Paul Makonda anaendelea kujinyenyekeza na kujiweka mikononi Mwa Mungu Mwenyewe kiimani ,kwa kutambua kuwa huyo ndiye Mlinzi wake na ambaye anaendelea kumlinda ,kumtetea na kumpigania dhidi ya maadui zake wenye chuki binafsi na wivu tuView attachment 3101707

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
KAZI, SALA, IBADA NA MAOMBI KWA MUNGU ndio mpango mzima wa kufanikiwa kwa yeyote..

well done RC Makonda, well done Prophet Mwamposa.God bless you all Aimen 🙏
 
Lakini kweli watu wengi kwenye maswala ya imani ni weupe sana! Hivyi kweli ùnafanyiwa maombi na mwamposa alafu unasimama unawakemea manabii wengine! Mwamposa unamjua kwamba ni miongoni mwa manabii waoñgo wanaotumia jina la Yesu ndivyo sivyo???
 
Nimeandika nimefuta nimeandika nikafuta tena nikaandika nikafuta nikafuta tena nikaandika nikafuta

Hawa jamaa wanacheza na akili za watu
Unasemaje wanacheza na akili za watu wakati unaona miujiza ambayo Mtume wa Mungu amekuwa akifanya maeneo mbalimbali huku watu wakiinuka na kuangaza.
 
Lakini kweli watu wengi kwenye maswala ya imani ni weupe sana! Hivyi kweli ùnafanyiwa maombi na mwamposa alafu unasimama unawakemea manabii wengine! Mwamposa unamjua kwamba ni miongoni mwa manabii waoñgo wanaotumia jina la Yesu ndivyo sivyo???
Boniface Mwamposa anahubiri neno la Mungu na siyo kupiga Ramli.
 
Tapeli la kiroho aka Mwamposa. Nasema uongo ndugu zangu?
Sahihi kabisa. Hapo kuna mjasiriamali tapeli wa mafuta, sabuni, maji, leso, udongo, maneno ya uongo, nk. Anamfanyia maombi mtu aliyefoji cheti na pia mwizi na dhulumati wa mali za watu.

Imagine kipofu anamuongoza kipofu mwenzake!!!
 
Boniface Mwamposa anahubiri neno la Mungu na siyo kupiga Ramli.
Watu wamepatwa na imani sio wamepata imani, Yesufu mwenyewe alipomzibua yule bubu kiziwi alimtoa kwenye mkutano akampeleka faragha akampaka mate kwenye ulimi na kumpakaa kwenye masikio akaongea na kusema na kusikia, akamwambia usimwambie mtu jambo hili

Soma 1 Wakorintho 1:25 umsikie anachokuambia Mtume Paulo

25' Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

Anachofanya bwana mwoposa ni maigizo ya imani ambayo hata wewe unaweza kuigiza Yesufu ukiwa msalabani umepigiliwa misumari ila igizo likiisha unakua wewe tu
 
Watu wamepatwa na imani sio wamepata imani, Yesufu mwenyewe alipomzibua yule bubu kiziwi alimtoa kwenye mkutano akampeleka faragha akampaka mate kwenye ulimi na kumpakaa kwenye masikio akaongea na kusema na kusikia, akamwambia usimwambie mtu jambo hili

Soma 1 Wakorintho 1:25 umsikie anachokuambia Mtume Paulo

25' Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

Anachofanya bwana mwoposa ni maigizo ya imani ambayo hata wewe unaweza kuigiza Yesufu ukiwa msalabani umepigiliwa misumari ila igizo likiisha unakua wewe tu
Embu na wewe nenda kaponye watu kama ni rahisi .
 
Back
Top Bottom