Paul Makonda aiomba Mahakama siku 21 ili ajibu hoja za Kubenea

Njaa tu za mawakili na kiu ya dealers wa mihadarati na mashoga kutakata kulipiza kisasi kwa mtendaji wa serikali aliyekua anawajibika vema kwenye majukumu yake
 
Huyu mtu alikuwepo siku zote na hakuwa amekimbia kama watu walivyokuwa wamezusha. Hamna kesi hapa. Pengine alikuwa ameamua kuwa keep busy media kwa muda tu na si vinginevyo
 
Nadhan kwasabu kesi imewauganisha na watu w serikal kesi haitakuepo
 
Kumbe DPP ndiye alikuwa anamtuma ...


Watu wasiojulikana
 
hka kajamaa kamepat umaarufu sana...tena kanawasumbua sana!
 
Mahakama iache kumuogopa makonda inatakiwa akae ndani kwanza miezi 3 kwa kudharau wito wa mahakama

Akienda mahakamani ndio hiyo siku ataambiwa ahaaaa unakumbuka uliidharau mahakama ?
 
Yatawakuta ya Sabaya,unataka wasiojulikana wajulikane? Akimwaga mboga je

Unafikiri hajatahadharishwa hayo tangu zamani
Unapofanya special missions kuna kiapo
Sasa unafikiri na yeye hapendi maisha na ya familia yake
Huoni anavyoonyesha woga mitandaoni na kaogopa kutaja kundi moja
Je unajua ni lipi hilo?
 
Unafikiri hajatahadharishwa hayo tangu zamani
Unapofanya special missions kuna kiapo
Sasa unafikiri na yeye hapendi maisha na ya familia yake
Huoni anavyoonyesha woga mitandaoni na kaogopa kutaja kundi moja
Je unajua ni lipi hilo?
Unaua watu halafu unaogopa kifo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…