Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

Naunga mkono hoja 👍👏
 
Makonda kafanya kile ambacho CCM walitaka, kufanya watu waiongelee CCM sana
But, it is negative publicity.

Ndio, tunaiongelea CCM au Makonda lakini ni taswira hasi.

Paul Makonda atakuwa ndio the face of CCM from now on going forward.

Ukitaja neno Makonda utakumbukwa utawala wa mabavu!

Mada zitakuwa ni mbili tu, Bandari, Makonda. Massive distraction on the CCM agenda.
 
Duh 🙄 ! Mambo mazito haya kama ni kweli !! Ngoja Tusubiri tuone !!
 
Naunga mkono hoja,ni kweli kbs,mie ni mwana ccm,lkn ninaichukia mno ccm kwa sababu ya hao vijana wapigaji,Nape,makamba na hata mwigulu pia,lkn pia ukimya wa mama unanikela na kunikatisha tamaa,hii nchi sio Mali ya ccm,hii nchi ni Mali ya watanzania woote.
 
Je Kuna ushaihid ya kuhusika kwake kwenye mauaji ya mtu yoyote au chuki kwake imetewala
Serikali ndiyo yenye nguvu ya kisheria ya kushughulikia tuhuma yo yote ya kijinai. Ukiomba ushahidi kama njia ya kumtetea mtuhumiwa haipendezi, unataka kila mtoa tuhuma awe mpepelezi? Hapo utawala bora utakuwa kaputi! Ila ni sahihi kama mtoa tuhuma akawa mtu wa kwanza kuonesha chimbuko la tuhuma kwenye chombo teule cha upelelezi.
 
Kinana bonge la fisadi na mhujumu uchumi,sijui kwa nn mpk mda huu yupo uraiani,amesomba wanyama wetu na pembe za ndovu kwa mda mrefu sana na hao waarabu wake.
 
Nadhan kama angetaka muongeaji wa kupambana na wapinzani basi hata Chalamila angefaa ila kumrudisha huyu mwamba , naona ni kama kosa na sitegemei wengi kukubaliana na hili ndani ya chama.
Makonda ni zaidi ya kila kitu ccm,hakuna kitu kama makonda,said kubenea na Nape nnauye waendelee tu na hiyo ndoa yao ya jinsia moja.
 
Kinana bonge la fisadi na mhujumu uchumi,sijui kwa nn mpk mda huu yupo uraiani,amesomba wanyama wetu na pembe za ndovu kwa mda mrefu sana na hao waarabu wake.
Kwani wewe ulitaka wanyama ufanyie nao nini? Kama wateja wa kununua wanyama wapo kwa nini tukae nao !?
 
Paul Makonda mikono yako inanuka damu damu za binadamu wenzako una chuki na visasi. Ajabu unamtaja mara kwa mara Mungu aliyemtukufu. labda ni mungu wa Kolumije.

Mama yako mama bashite (samia) atalipa uovu huu wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…