imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwahiyo wewe ni mpenzi wa Siasa za Chuki?mtaharisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe ni mpenzi wa Siasa za Chuki?mtaharisha
Systerm ilimbeba tu mzee baba kama kina hali happy.Kwa kawaida Wasukuma huwa hawana Roho za kikatili sijui huyu kaitoa wapi?
Kichwa cha habari kingekuwa sahihi "Ujio wa Makonda Waiwewesesha Chadema"! Ahahahah! Maana tangu Mwamba ateuliwe anaongelewa zaidi na Chadema kuliko mtu mwingine yeyote! Ahahahahaha!!!Hii ndio Taarifa ya Gazeti la MwanaHalisi kama ilivyowekwa ukurasa wa mbele .
View attachment 2793283
Hujamsikiliza Lisu kuhusu kiongozi wa wale walioenda kumpiga risasi. Kuna aliyekanusha hilo? Wahusika walikamatwa? Unataka nini zaidi ya hilo tukio moja.Je Kuna ushaihid ya kuhusika kwake kwenye mauaji ya mtu yoyote au chuki kwake imetewala
Sema mama kapasua upinzani Makonda hana jeuri ya kupasua upinzani bila mkono wa ikulu, sasa ambebavyo mama tofauti na alivyobebwa na Magufuri. Hivyo tambua Makonda huyu si yule. Subiri utaona tofauti.Makonda amepasua zaidi upinzani kuliko CCM. CCM huwa hawabadiliki Ila wanaangalia upepo ukoje. Samia aliwaaminisha wapinzani kuwa yeye na Magufuli ni tofauti, sabaya alifunguliwa kesi lakini mpaka Sasa yupo mtaani, makonda aliwekwa benchi leo karudishwa. Tuliwaambia maridhiano ni kiini macho matokeo yake wapinzani wamekaa kimya kuikosoa serikali kwa maridhiano ambayo hayatekelezwi.
Kampa Doto biteko akaona bado, anayesema now days hakuna ukanda, ukabila afikilie vizuriKama kumleta Makonda ndiyo kuziba ufa wa Sukuma Gang basi hajafikiria vizuri. Nafuu angempa Luhaga Mpina uwaziri fulani angepata mileage kubwa kuliko huyu mtu mchafu.
Kama wewe ni mtaalamu wa social media. Angalia namna watu walivyo react ndiyo utajuwa kuwa Samia AMEBUGI Big time
Mbona mwamba tuvushe alipaswa kuwa gerezani siku nyingi Ila anakamua mtaani tuRais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"
Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania
Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
CCM ni ileile hakuna cha Samia Wala MagufuliSema mama kapasua upinzani Makonda hana jeuri ya kupasua upinzani bila mkono wa ikulu, sasa ambebavyo mama tofauti na alivyobebwa na Magufuri. Hivyo tambua Makonda huyu si yule. Subiri utaona tofauti.
Mbabe shetani ana laana za kila aina.Mbabe wa Vita karudi mjini mbwa Koko wanahaha.
Gazeti la Kubenea hiloHii ndio Taarifa ya Gazeti la MwanaHalisi kama ilivyowekwa ukurasa wa mbele .
View attachment 2793283
Dada siku hizi naona umekata tamaa sana!CCM ni ileile.
Nazungumzia kwenye pirika zao ndani katika kupata madaraka zaidi. Nia ya makonda ni madaraka hivyo atabadili rangi afanane na mama na asivyo na akili atataka kugombea uraisCCM ni ileile hakuna cha Samia Wala Magufuli
Una uhuru wa kuota ndoto. Ila ukiona mlango wa choo, usiingie. Usije kukata gogo kwenye kitanda kiainaBaada Ya Samia President ni Makonda
Tulitahadharisha hii harufu tukatukanwa...na rostam azizi ndiye anaye tumika kupanga safu mpya ya mama lengo ni kupunguza nguvu ya msoga gang maana mama awaaminiani sana na msoga kwa sasa tena waarabu walio nyuma ya samia gang wametilia mkazo sana jambo hili.kwa sababu waarabu wate wa ndani na nje wapo kwenye Samia gang.
Mimi ni mwana CCM, nasema bila unafikia kwamba katika teuzi za hovyo Samia amefanya huu wa Makonda umetia fora!Hii ndio Taarifa ya Gazeti la MwanaHalisi kama ilivyowekwa ukurasa wa mbele .
View attachment 2793283