Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

Rais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"

Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania

Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Umeiweka vizuri sana sana
 
Rais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"

Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania

Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Kwani alokutendea uovu gani?
 
Rais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"

Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania

Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Acha roho mbaya ndugu. Una roho ya kichawi wewe
 
Ushahidi upo mkuu sema kwa sheria zetu mashtaka ya jinai hufunguliwa na Jamhuri. Clip ya yeye kuvamia Clouds Media na silaha ipo kwenye mitandao. Vilevile tukio la Nape kutishiwa bunduki pale Protea na yule askari liko mitandaoni. Ujuwe kuwa na Makonda alikuwa palepale Protea akimuagiza yule askari kumtishia Nape.

Tundu Lissu akishambuliwa kwa risasi 16 Dodoma na Makonda again alikuwapo kwenye gari akitoa maelekezo.

Secretary Pompeo wakati wa Trump administration alitoa waraka unaomzuia Makonda kwenda USA kwa vile anadhulumu haki za watu wengine kuishi.

Kama ndugu dr namugari huyajui haya, basi hizi page za Jukwaa la Siasa siyo size yako. Endelea kuwapo Jamii Chitchat na Celebriries

Utafika wakati Rais Samia atakuwa kamaliza kipindi chake, atakayekuja LAZIMA jamii ya Watanzania both CCM na Upinzani watataka ukweli na haki itendeke juu ya UFEDHULI wa Makonda
Mkuu ama na wewe ulikua katika hio gari inayotoa maelekezo
 
Rais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"

Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania

Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Sasa atampeleka nani kwa sababu na wewe upo tu unabwabwaja kwa Id fake humu jf? Wewe ulikuwa ni mmoja kati ya wapi?, wauza madawa ya kulevya au mabasha na mashoga waliosababisha marekani izuie mskonda kwenda huko?
 
Ushahidi upo mkuu sema kwa sheria zetu mashtaka ya jinai hufunguliwa na Jamhuri. Clip ya yeye kuvamia Clouds Media na silaha ipo kwenye mitandao. Vilevile tukio la Nape kutishiwa bunduki pale Protea na yule askari liko mitandaoni. Ujuwe kuwa na Makonda alikuwa palepale Protea akimuagiza yule askari kumtishia Nape.

Tundu Lissu akishambuliwa kwa risasi 16 Dodoma na Makonda again alikuwapo kwenye gari akitoa maelekezo.

Secretary Pompeo wakati wa Trump administration alitoa waraka unaomzuia Makonda kwenda USA kwa vile anadhulumu haki za watu wengine kuishi.

Kama ndugu dr namugari huyajui haya, basi hizi page za Jukwaa la Siasa siyo size yako. Endelea kuwapo Jamii Chitchat na Celebriries

Utafika wakati Rais Samia atakuwa kamaliza kipindi chake, atakayekuja LAZIMA jamii ya Watanzania both CCM na Upinzani watataka ukweli na haki itendeke juu ya UFEDHULI wa Makonda
Acha uongo wako wewe,au ni ujinga unakusumbua?,
 
Hahahaha, dada CCM hainaga rafiki wala shukrani pole sana....
Ntaendelea kuwasomesha maana ya Reconciliation mpaka mtaielewa, jidsome hapa:


 
Tumesoma gazeti lako la Leo Alhamisi October 28 mpaka November 01.

Umeandika
"Makonda Aipasua CCM!"
Ukweli ni kwamba wewe na Nape Nnauye hamtakaa mfurahie Mafanikio yoyote ya Makonda!

Tunajua jinsi Kundi la Nape na January lilivyokutumia wewe Said Kubenea kufungua kesi lukuki dhidi ya Makonda!

Tunajua jinsi ulivyofutwa machozi kwa kufunguliwa magazeti yako ya Mwanahalisi na Mawio!

Pia tunajua kwamba Kigogo unayemficha jina kwenye gazeti lako la Mwanahalisi kwamba amepinga uteuzi wa Makonda ni Nape Nnauye!

Sasa anatishia nyau kujiuzuru chama as if yeye ni ngome ya chama! Wakati tunajua Nape ni mojawapo ya wanasiasa wa CCM aliekalia kuti kavu jimboni kule anakowakilisha ilhali si mzaliwa wala mkuliaji wa hapo Mtama!

Nawashaurini enyi team roho mbaya mkae mtulie! Hatuipendi CCM ndiyo!
Lakini pia tunawachukia watu kariba ya Nape, Makamba,Kinana na team nzima iliyoko sambamba na maburushi kuifilisi nchi hii.

Lakini pia muelewe kwamba CCM ni taasisi ya wananchi ingawa kwa sasa imetekwa nyara.

Tuonane 2025 kwenye maamuzi magumu toka pande za Pwani ya Ziwa Magharibi. Polepole tutaheshimiana tu!
 
Screenshot_20231026_135107_Parallel Space.jpg

SASA ni rasmi kuwa CCM inaingia na iko kwenye mpasuko mkubwa sana baada ya habari za kuaminiki kutoka kwa watu wa karibu sana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana kuwa anajipanga kujiuzulu umakamu mwenyekiti wa chama hicho kikongwe na king'ang'anizi kutoka madarakani.

Kinana ameweka wazi kuwa anapinga uteuzi wa Paul Makonda kama Katibu Mwenezi wa CCM na pia ameweka wazi kwa watu wake wa karibu kuwa hakushirikishwa na kushauriana kabla ya uteuzi wa Makonda kitu ambacho amekitafsiri kuwa anadharauliwa na hayuko tayari kuburuzwa kwenye mambo ndani ya chama na hataki kuwa sehemu ya historia ya hovyo ndani ya chama hicho kumsafisha Paul Makonda ambaye ana uchafu mwingi sana aliofanya akiwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam.

Mtu huyu aliyetupa habari hizi za ndani ndani sana ambaye ni mmoja wa wale wanaofahamika kuwa vijana wa Kinana tena wa karibu sana, amesema tayari Kinana ameomba apointimenti ya kukutana na Mwenyekiti wa CCM kumueleza azma yake hiyo na amesikika kuwa atafanya kwa staili ile ile ya kipindi cha Magufulu alipojiuzulu kupinga ubabe na ukatili wa Magufuli.

Wakati hali ndani ya CCM ikiwa mbaya kiasi hiki tayari kumekuwa na mgawanyiko mkubwa sana ndani ya chama hicho na wazee wa chama na makada wanafikiria kufanya yasiyotarajiwa kwenye uchaguzi wa 2025 na zaidi wamefika mahali kuanza kuunda kambi za kumkwamisha Rais Samia kuwa mgombea mwaka 2025 na bahati mbaya sana kambi ya ya akina JK ile ile ya mwaka 2005 inasemekana imeshaingia kazini na wameweka wazi kuwa hawawezi kuona chama kinachezewa na akina Makonda kwa kiasi hiki na wanapinga kwa nguvu zote maamuzi ya Makonda kuwa Katibu Mwenezi wa CCM.

Mgawanyiko huu umekwanda mbali zaidi na tayari kundi hili la makada wanaanza kushawishi baadhi ya wastaafu wa vyombo vya usalama kuwa sehemu ya mpango huu ili kufanikisha azma yao hiyo ifikapo 2025. Kama jambo hili ni kweli kama tulivyoambiwa basi tunaweza kushuhudia kupasuka na kuzama kwa CCM kwa staili ya KANU kule Kenya na UNIP kule Zambia miaka mingi nyuma. Vyama hivi vilikuwa na nguvu sana toka uhuru wa nchi zao lakini zilikuja kuzama na kufa kimzahamzaha tu na mpaka leo havijanyanyuka tena.

SISI YETU NI MACHO NA TUTAWALETEA TAARIFA KADRI TUNAVYOAMBIWA NA KUZIPATA.. LAKINI KWA SASA TUMEKAAA PALEEEE 👉🏿

#KigogoMediaUpdates
 
Ntaendelea kuwasomesha maana ya Reconciliation mpaka mtaielewa, jidsome hapa:


Acheni kudandia vitu msivyoviweza....hizo R nne huko CCM hakuna anayeweza kuziishi achilia mbali kuzitafsiri.

Samia hana akili hiyo mwambieni atafute vitu vya size yake.
 
Back
Top Bottom