Ujui nini usemacho samia kajikologa sana kabla hata ya kumpa cheo mskonda tayari kulikuwa na mioasuko mitano 5 mibaya sana mpasuko wa kwanza kabisa ambao samia alianza nao kuutengeneza ni huu
1)
samia and msoga gang vs sukuma gang
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
2)samia gang vs msoga gang.
3) samia zanzibar gang vs watanganyika 4)samia arabu gang vs wabantu
5)samia muslimu gang vs Christian
Mpasuko wa tano aliokuwa anautenganeza samia umeshindwa ni female gang vs male
Kwasasa samia anajalibu ana maadui hadi kwa msoga gang ambao mwanzoni walikuwa kitu kimoja kuwanyanyasa sukuma gang ...hivyo anacho kifanya samia ni kujaribu kutafuta marafiki wapya kutoka sukuma gang ili kuzuia nguvu ya msoga gang 2025 maana wamepoteza kuaminiana hivyo anatafuta baadhi ya maadui wa msoga gang na kujaribu kuwa weka upande wake wa samia gang ili kuvunja nguvu ya msoga wasije wakampiga 2025...na rostam azizi ndiye anaye tumika kupanga safu mpya ya mama lengo ni kupunguza nguvu ya msoga gang maana mama awaaminiani sana na msoga kwa sasa tena waarabu walio nyuma ya samia gang wametilia mkazo sana jambo hili.kwa sababu waarabu wate wa ndani na nje wapo kwenye Samia gang.
Sent from my SM-A325F using
JamiiForums mobile app