SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
J.M.KAliyemteua ndio kaipasua CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
J.M.KAliyemteua ndio kaipasua CCM
Umemchana.Nenda kabadilishe pads uoshe halafu ulalwe. Mada hizi ngumu si za wase nge kama Granta
Hupo sahii sana mkuu, ukisikia akili ndogo ongoza akili kubwa ndo hii, kwamba ccm sasa hawana tena akili kubwa , mbona hii chama bado ipo na watu wanaojitambua ,kama wamefika mwisho wa kufikiri naomba nibinafishiwe ichi chama na watanishukuru badaeMtu aliitwa Zero Brain na kufoji vyeti kutoka Daud Bashite baada ya kupata F zote na kujiita Makonda atakuwaje na akili?
Mwanga kaingia kundini.Hii ndio Taarifa ya Gazeti la MwanaHalisi kama ilivyowekwa ukurasa wa mbele .
View attachment 2793283
Was it necessary?Uislam wangu wewe unakuudhi nini?
Ukweli ndiyo huo.Mimi ni mwana CCM, nasema bila unafikia kwamba katika teuzi za hovyo Samia amefanya huu wa Makonda umetia fora!
Makonda hana hadhi, uadilifu wala ueweledi wa kuwa Mwenezi wa CCM Taifa.
Ila waswahili wana msemo wao wa " Ndege wafananao huruka pamoja"!
CCM inalazimishwa kuwa Chama Cha Mazuzu !
Aisee swali zuri sana kwa mtu anayelazimisha siri za mtu mchafu kuwekwa hadharani.Siku moja ulawitiwe halafu hujapiga picha na huna ushahidi je utakataa kutibiwa ikiwamo kupigwa bomba? Nijibu tafadhari.
Tukio la uvamizi wa Clouds TV,Nape kunusurika,au umesahau fara?Ukiulizwa maovu yapi utaanza kujambajamba tu hapa...
Hama nchi... makonda ni chuma...!
Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa WatanzaniaRais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"
Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania
Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Utabiri wa Mwalimu unakaribia !CCCM kupasuka na kufa kama kinyoonga wa KIJANI na manjano ndo tukio tunalokisubiri Kwa hamu.
Habari ya mjini ni maandamano ya Amani Novembre 2023.
Mimi nadhani hii imefanywa kwa makusudi ili kuwaumiza gang fulani linaloonekana kutaka kumzuwia Mwenyekiti kwenye kinyang’anyiro cha 2025 ! Hii ni calculated move sio bahati mbaya !!Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Je Kuna ushaihid ya kuhusika kwake kwenye mauaji ya mtu yoyote au chuki kwake imetewala
Kwahiyo claudstv kuna mtu alichinjwa?Tukio la uvamizi wa Clouds TV,Nape kunusurika,au umesahau fara?
Uliambiwa ni mmarekani?Ulishawahi kuuliza ubalozi wa Marekani hapa Tz kwa nini walimpa ban ya milele kwa kua anadhurumu haki za watu za kuishi.
Je Kuna ushaihid ya kuhusika kwake kwenye mauaji ya mtu yoyote au chuki kwake imetewala
mpe mbowe heshima yake, yule ni mwenyekiti wa chadema taifa. Sawa na kusema samia na kenge lake la ccm kitu ambacho si heshima. Halafu chadema kama ilivyo si genge la wahuni those are smart people at all ways as ccm people. Uwe na heshimaMakonda ataipasua CHADEMA. Ujio wa Makonda umefanya Mbowe na wahuni wenzake wafute mikutano yao ya unafiki. Mabeberu waliokuwa wanawapa pesa kupinga mkataba wa bandari wameacha baada ya mkataba kusainiwa. Mbowe na genge lake wamebaki kuhaya haya tu