FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Uislam wangu wewe unakuudhi nini?Was the 'uislam wangu' part necessary?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislam wangu wewe unakuudhi nini?Was the 'uislam wangu' part necessary?
Umezaliwa leo,ule ujambazi wa Clouds TV hukuuona?Je Kuna ushaihid ya kuhusika kwake kwenye mauaji ya mtu yoyote au chuki kwake imetewala
Labda apasue msambwanda wake na si Chadema.Makonda ataipasua CHADEMA. Ujio wa Makonda umefanya Mbowe na wahuni wenzake wafute mikutano yao ya unafiki. Mabeberu waliokuwa wanawapa pesa kupinga mkataba wa bandari wameacha baada ya mkataba kusainiwa. Mbowe na genge lake wamebaki kuhaya haya tu
Never on earth braza. Labda awe raisi wa familia yako au KolomijeIpo siku makonda atakuwa rais, na hiyo siku haipo mbali
Tulikuwepo mjini kabla yake na tutaendelea kuwepo,ataondoka na atatuacha tena hapa hapa Town.Mbabe wa Vita karudi mjini mbwa Koko wanahaha.
Labda Rais wa Wababa wenye watoto wa Maabara.Ipo siku makonda atakuwa rais, na hiyo siku haipo mbali
Au awe Rais wa mashoga kama mwenyewe alivyo na ule msambwandaLabda Rais wa Wababa wenye watoto wa Maabara.
Ushahidi upo wazi kabisa. Ila vyombo vyenye wajibu wa kudhibitisha mauji yake ni sehemu ya huo uovu. Vikija vyombo huru Wala huhitaji zaidi ya wiki Moja uovu wake kuwekwa wazi.Je Kuna ushaihid ya kuhusika kwake kwenye mauaji ya mtu yoyote au chuki kwake imetewala
CCM bwana mkianza kujibizana tu lzm muitajetaje CHADEMA. CCM kama imefanya vema kumrudisha makonda basi hiyo inabaki ni furaha na shangwe ya wanaCCM wote na chama chao.CHADEMA inaingiaje humo.kila chama kipambane na maamuzi yake.Makonda ataipasua CHADEMA. Ujio wa Makonda umefanya Mbowe na wahuni wenzake wafute mikutano yao ya unafiki. Mabeberu waliokuwa wanawapa pesa kupinga mkataba wa bandari wameacha baada ya mkataba kusainiwa. Mbowe na genge lake wamebaki kuhaya haya tu
Ni kweli maana kwa sasa hivi viongozi wanapatikana kwa kunajisi chaguzi na sio kwa uadilifu, hivyo ni rahisi mtu muovu kuwa rais katika mazingira hayo.Ipo siku makonda atakuwa rais, na hiyo siku haipo mbali
Kabisa, huyo Makonda ni wale watu waovu wanaoweza kufanya uovu wakipata mazingira wezeshi. Magu alikuwa ni kiongozi muovu, hivya alitengeneza mazingira ya watu waovu kuwa kinga ya utawala wake.Sema mama kapasua upinzani Makonda hana jeuri ya kupasua upinzani bila mkono wa ikulu, sasa ambebavyo mama tofauti na alivyobebwa na Magufuri. Hivyo tambua Makonda huyu si yule. Subiri utaona tofauti.
Ni mtu punguani tu, anaweza msikiliza Makonda, kwamba bado anaamini jana ni leo, safari hii atajua hajuiMbona Tayari
Kwahiyo wewe ulifurahia alivyompiga mzee jaji WariobaMbabe wa Vita karudi mjini mbwa Koko wanahaha.
Marekani wakikutuhumu ujue wamefanya utafiti wa kina, huwa na hawajawahi kukosea.Je Kuna ushaihid ya kuhusika kwake kwenye mauaji ya mtu yoyote au chuki kwake imetewala
Anasema hayupo pale kumwonea mtu , sasa sijui yeye anajiona nani ndani ya nchi hii, ajifunze kwamba wapo waliokua na nguvu sana kuliko yeye na hawapo , mfano Membe n.k jamaa hana akiliRais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"
Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania
Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Mzee kashawageuka tayari...! Kuweni wapole fuata anachowapangia.Ila iko siku ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Ushahidi umejaa kila mahali