Paul Makonda amefanikiwa kuiweka CCM katika mioyo na midomo ya Watanzania

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa

 
Ikiwa Serikali iliyopata uhalali Kwa wananchi imeshindwa kudhibiti mfumuko wa Bei na tatizo la Umeme.

Mwenezi asiyetambulika popote ataweza?
Mfumuko upi wa bei ambao serikali imeshindwa kudhibiti.
 
Amefanikiwa kushusha bei ya bidhaa inayopanda siku hadi siku?

Mtanzania utamshawishi endapo tu utafanikiwa kushusha gharama za maisha ambazo wananchi wengi hawamudu kwa kipato chao kiduchu.

Siasa anazofanya ni za kuwafurahisha wana ccm wenzake tu ambao hawajitambui ila mwananchi wa kawaida anayeelemewa na mzigo wa gharama za maisha hawezi kukaa kusikiliza porojo za Makonda.
 
Kazi ya chama cha siasa na viongozi wake ni kuwasemea wananchi juu ya kero mbalimbali zinazowakabili.jambo ambalo linafanywa vizuri na chama chetu .ndio maana kinaendelea kupendwa na kuungwa mkono.
 
Wewe jamaa habari zako zote ni kuhusu DAB tu,
Ni anakulipa au ndo mambo ya multiple IDs??
 
Wewe jamaa habari zako zote ni kuhusu DAB tu,
Ni anakulipa au ndo mambo ya multiple IDs??
Basi na wewe andika habari zingine unazoona sijaandika.maana mimi naandika kuhusu maeneo mengi na masuala mengi tu .
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa
Hivi uchawa nao ni kazi kama kazi nyingine au uchawa ni kujitolea tu mkuu?
 
Kila nisomapo bandiko lako huwa ninawahurumia sana majirani zako na wote unaoishi nao karibu.

Wewe jamaa ni mnafiki wa kutupwa..!
 
Kanuni ya kupendwa na wananchi ni kuwasikiliza na ikibidi kutatua kero zao.

Kama huwezi kufanya hivyo hakuna muujiza utakao fanya upendwe na wananchi.

Mhe. MAKONDA ameamua kuwasikiliza wananchi tumwache afanye kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…