Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Nafikiri huyo ni bora kuliko chawa🤪Wewe ni taira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri huyo ni bora kuliko chawa🤪Wewe ni taira.
Makonda hakika Mungu ampe maisha marefu, yaani watanzania tunampenda sana tena sana. Dkt Samia angeweza kuwa kama Makondana kosa lake mwanzo ilikuwa kuanza kumdharau Dkt Magufuli (yaani alianza kushindana na mifupa ya marehemu), na matokeo yake Dkt Samia anachukiwa sana tena sana. Angalau ujio wa Makonda umebadili upepo, bila Makonda Dkt Samia alikuwa hashindi uchaguzi wa 2025, sababu kubwa ni chuki aliyopandikizwa na baadhi ya wasiomtakia mema.Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na .
Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu
Tusameheane tunapokoseana.sisi sote ni binadamu hatuwezi kufanana mitizamo.Luca unazingua, uwe unatenganisha basi mambo ya kusema Watanzania unatujumuisha wengine katika upumbavu sio sawa.
Kumbe lengo siyo kutatua kero za wananchi ? Lengo ni kukirudisha chama ccm midomoni????Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa umekuwa ni uteuzi wa kihistoria na karata ya ushindi iliyochezwa na
Unawezaje kukiweka midomoni na mioyoni kwa watu chama ikiwa hutatua kero zao wala kujibu maswali na kutoa utatuzi wala kukata kiu ya wananchi wala kuwapa matumaini wala kuwa na mipango yenye kugusa maisha ya watu?Kumbe lengo siyo kutatua kero za wananchi ? Lengo ni kukirudisha chama ccm midomoni????
Unasababisha matatizo. Halafu unayatatua au siyo luca? Wewe kweli mjinga wa taifa kama makonda ni solution sasa hawa mawazir wa kisekta tunaowapa ma v8 wann sasaUnawezaje kukiweka midomoni na mioyoni kwa watu chama ikiwa hutatua kero zao wala kujibu maswali na kutoa utatuzi wala kukata kiu ya wananchi wala kuwapa matumaini wala kuwa na mipango yenye kugusa maisha ya watu?
Hizo shida zimeletwa na naniNani kasema anaiumbua serikali? Kwa hiyo furaha yako unataka watu wafe na shida zao majumbani mwao? Unataka watu waendelee kuteseka na shida zao? Unataka waliopokwa haki zao na watu huko mitaani wasitafute msaada kwa chama? Ziara za Mheshimiwa Makonda zinasaidia sana wananchi na kuonyesha nini kifanyike huko mikoani.ndio maana kwa sasa viongozi kama ma RC na Ma DC wameanza kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapatia majibu ya kero zao
Hazijaletwa na mtu bali ni kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya watu kunakotokana pia na kuongezeka kwa watu.Hizo shida zimeletwa na nani
Hapo kwenye mazingira wezeshi ndo tatizo kubwa lilipoNdugu yangu suala la sukari kupanda bei lilishaelezwa na kutolewa ufafanuzi na serikali na tayari sukari imeshaingia nchini na muda siyo mrefu itaanza kusambazwa nchini na hivyo bei kupungua.
Suala la maisha ndugu yangu ni kuwa lipo katika juhudi za mikono yako. Umaskini katika familia zetu Watt zitaondolewa na sisi wenyewe watanzania kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma kwa hali ya juu.kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kutusaidia Watanzania kujikwamua kiuchumi
Kwani wapi ambapo mimi umeona nimeandika makala ya kuomba uteuzi.
Acha porojo zako wewe.mheshimiwa Makonda anabebwa na uchapa kazi wake na unyenyekevu wake katika kusikiliza kero za watu na uwezo wake mkubwa wa kuweza kumsikiliza kila mtu.Watu wa kitengo wana mbinu nyingi ya kuwatoa watu katika "attention" ya mambo yaliyokuwa "talk of the town and equally embracing public cencures" Serikali iliyopo madarakani inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa kiutawala ikiambatana misukosuko mingi katika kila nyanja za kiuchumi na kijamii.
Ili kujihami na hili wamemleta domokaya huyu kimkakati ili kuwaondoa watu kwenye "attention" ya kuweza kuhoji vitu vya msingi. DAB ni mtu wa mfumo ambaye ameletwa kwa kusudi maalum na mkakati huo maalum wa ku "dilute" mapungufu na fikra chovu za watawala na mfumo wenyewe.
MENE, MENE, TEKELI & PERESI
Tuwe na subira maana TANESCO wameshatoa taarifa kuwa kuna hitilafu imejitokeza na wapo wanapambana ili umeme uwake haraka sana.pole sana kwa usumbufu wote uliojitokeza kwetu watanzania na hasara zote zilizopatikana kutokana na kukatika huko kwa umeme.Nchi nZima iko gizaniii ziiiii
Na giza hili vibaka,wezi wanafanya yao
Na,giza hili watu wana nyanduana tu
Ova
Mimi sijipendekezi kwa mtu bali naandika ukweli ambao pengine wewe huupendi kwa kuwa unakuumiza.Unaandika makala za kujipendekeza lakini kwa vile zinakosa maudhui ndiyo maana huitwi,unatwanga maji kwenye kinu yataishia kukulowesha tu. Wanakudharau sana.
Lucas ukiwa kama chawa halisi na mtoto wa kufikia wa mama, kuna "issues" huwezi kabisa kuzitendea haki. Basi baki kama ulivyo kwa asili ya hadhi na haiba yako.Acha porojo zako wewe.mheshimiwa Makonda anabebwa na uchapa kazi wake na unyenyekevu wake katika kusikiliza kero za watu na uwezo wake mkubwa wa kuweza kumsikiliza kila mtu.
Ni Kweli kabisa,
Mwenezi hivi sasa ni Maarufu kuliko Mwenyekiti wake SSH!!
Ikiwa Serikali iliyopata uhalali Kwa wananchi imeshindwa kudhibiti mfumuko wa Bei na tatizo la Umeme.Anafanya kazi iliyotukuka kwa niaba ya Rais wetu, na wananchi tunalijua hilo