Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo


jibu hili swali,kwanini pengo hakusema usisomwe? unaona sasa aibu inayomkuta,mtu mzima anatukanwa kama mtoto,naona unarukaruka tu kaa kindege
 

Unamaanisha maoni binafsi ya JK kama yale ya kwenye Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoyatoa bungeni?
 

mkuu hawatakiwi kabsa maana hata hawajui majukumu yao kabsa
 
tatizo sio makondo shida ni hawa wakuu wa wilaya hawana kz, hawajui hata kwa nn wanateuliwa ni mambumbumbu tu kama huyu -----
 

Kwa mantiki hiyo basi Gwajima ataitwa pia na TISS,EWURA,TABOA,TCRA,SSRA,TBS, ili akatoe maelezo.
 
We Konda jiandae Lowassa akichukua nchi utameza matapishi yako na viboko mgongoni!
Kijifanyafanya tu kila kitu we ndo msemaji!
 
Makonda ana kichaa nimeamini!

DC anahusika vipi na tuhuma za kijinai?Huyu lzm ana wazimu
 
kuliko kuwa mwingi wa maneno bora kuwa kilema au kipofu ipo siku makonda atajutia mdomo wake kukosa breack:ballchain:
Ni karibia miaka miwili sasa tangu uliposema haya! Uliona mbali sana! Kumbe muda ni mwamuzi mzuri sana
 
Ni karibia miaka miwili sasa tangu uliposema haya! Uliona mbali sana! Kumbe muda ni mwamuzi mzuri sana

aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
 
aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
Haahhaahah wa ukaridayo bana!

Kwahiyo mkuu hajaonesha kujuta hata kidogo?
 
aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
Mbona povu sasa? laana inamtafuna ndugu yako
 
aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
Mkuu nitake radhi uchawi siyo kitu kizuri !!!
Unamanisha nilimloga bashiite!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…