Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

mnafiki ni aliyekutuma.....wenye akili wameshatambua .....wewe ni mtu wa aina gani.....na hata uwezo wako wakufikiri uko ktk level gani,,,.......ndo maana hatusbishani nawajinga........kunawanaojitambua na kutulia....hao tunawaelimisha....kapumzike ukishakuwa ...rudi tutakupa shule ya bure yakujitambua na kuchambua mambo....all da best

jibu hili swali,kwanini pengo hakusema usisomwe? unaona sasa aibu inayomkuta,mtu mzima anatukanwa kama mtoto,naona unarukaruka tu kaa kindege
 
ndugu unachanganya mambo.....kama sio kurukia uliyoyaelewa kijuujuu......MAMLAKA YA PENGO YAPO NDANI YA JIMBO LA DSM,,,,KWA TAARIFA YAKO HAKUSHIRIKI MAZUNGUMZO YA MWISHO YALIYOFANYIKA ARUSHA.....ALIPOLETEWA WARAKA ALIUSOMA na akaupongezwa kwa jinsi ulivyoandikwa vizuri,,,,,,na akaruhusu usomwe kwenye parokia na vigango vyote DSM.....ILA AKATOA MAONI YAKE BINAFSI,,,,,,,NA NAAMINI ANGEHUDHURIA KIKAO CHA MWISHO CHA ARUSHA ANGEYASEMA......SASA ALIPOKOSEA NIWAPI,,,,,,,HUJAWAHI SIKIA HATA RAIS ANASEMA KITU THEN ANAPENDEKEZA KITU KAMA JAKAYA BINAFSI NA SIO JAKAYA RAIS,,,,,,,,PENGO KATOA MAONI YAKE KAMA PENGO NA HAYO MAONI SIO MSIMAMO WA KANISA KATOLIKI KTK JAMBO HILO........MBONA MUMTUKANE,.......YAKILAINI HAYAHUSIKI KTK HILI

Unamaanisha maoni binafsi ya JK kama yale ya kwenye Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoyatoa bungeni?
 
Hili tulipokee nalo kama lilivyokuja kwa sababu ni mwendelezo wa ombwe la uongozi wa juu wa nchi. hivi huyu DC wa wilaya hata akili yake kidogo sana aliyonayo hilo nalo ni jukumu lake? hata kova hivi jeshi la polisi limeanza kushughulikia kesi za defamation? au ni kutupotezea mwelekeo kwenye masuala ya msingi ? mwambieni Makonda ajaribu kufikiri kidogo anatudhalilisha vijana aaah pumbavu kabisa.

mkuu hawatakiwi kabsa maana hata hawajui majukumu yao kabsa
 
tatizo sio makondo shida ni hawa wakuu wa wilaya hawana kz, hawajui hata kwa nn wanateuliwa ni mambumbumbu tu kama huyu -----
 
Si ameshaitwa polisi? Kwani huko polisi ameenda kufanya nini kama si kutolea ufafanuzi tuhuma hizo? Kwa mtindo huu mwenyekiti wa mtaa atamwita akatoe maelezo. mwenyekiti wa kata, diwani, mbunge, mkuu wa mkoa, meya, Takukuru, Sumatra, na hata JK naona kila mtu atamwita kwa wakati wake ofisini kwake akatoe maelezo.

Kwa mantiki hiyo basi Gwajima ataitwa pia na TISS,EWURA,TABOA,TCRA,SSRA,TBS, ili akatoe maelezo.
 
We Konda jiandae Lowassa akichukua nchi utameza matapishi yako na viboko mgongoni!
Kijifanyafanya tu kila kitu we ndo msemaji!
 
Makonda ana kichaa nimeamini!

DC anahusika vipi na tuhuma za kijinai?Huyu lzm ana wazimu
 
kuliko kuwa mwingi wa maneno bora kuwa kilema au kipofu ipo siku makonda atajutia mdomo wake kukosa breack:ballchain:
Ni karibia miaka miwili sasa tangu uliposema haya! Uliona mbali sana! Kumbe muda ni mwamuzi mzuri sana
 
Ni karibia miaka miwili sasa tangu uliposema haya! Uliona mbali sana! Kumbe muda ni mwamuzi mzuri sana

aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
 
aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
Haahhaahah wa ukaridayo bana!

Kwahiyo mkuu hajaonesha kujuta hata kidogo?
 
aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
Mbona povu sasa? laana inamtafuna ndugu yako
 
aliona mbali wapi? acha uswahili bwana dalili za uchawi hizo

waswahili kwa kuunga unga bana

Gwajima hana vyeti kawafanya wote kuwa mazombie si wasomi, si wasio wasomi

Gwajima mhuni! kubali kataa
Mkuu nitake radhi uchawi siyo kitu kizuri !!!
Unamanisha nilimloga bashiite!
 
Back
Top Bottom