TISS wanasubiri nini kumng'oa korodani huyo pimbi Gwajima?
yeye mwenyewe ni TISS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TISS wanasubiri nini kumng'oa korodani huyo pimbi Gwajima?
Huyu gwajima kwanza ameharibu ndoa ya kijana mwenzetu Mbasha alafu bado anajiita mchungaji,tunaomba serikali itusaidie kudeal na mamluki was hivi kwenye jamii yetu ...this guy deserves to be tasked on how to keep manners
Hizi ndizo kazi za Mkuu wa Wilaya??
kubishana na mtu ambaye hajitambui nikupoteza muda na rasilimali
huna hoja kafilie mbali mnafiki!
Huyu makonda mavi ya bata kabisa.DC unahusika na nini kwenye mambo hayo
Mkuu wa wilaya ni mlinzi wa amani kwenye wilaya yake.Matamshi ya Gwajima yaweza letelea vurugu katika wilaya yake ya kinondoni kati ya wakatoliki wanaomheshimu Pengo na wafuasi wa Gwajima waliokuwa wakishangilia wakati Pengo akiporomoshewa matusi ya nguoni.
HIVYO KUMWITA NI SAWA
Mkuu wa wilaya ni mlinzi wa amani kwenye wilaya yake.Matamshi ya Gwajima yaweza letelea vurugu katika wilaya yake ya kinondoni kati ya wakatoliki wanaomheshimu Pengo na wafuasi wa Gwajima waliokuwa wakishangilia wakati Pengo akiporomoshewa matusi ya nguoni.
HIVYO KUMWITA NI SAWA
Utendaji kazi wa huyu dogo ni TUSI KUBWA SANA KWA MAMLAKA YA UTEUZI
mnafiki ni aliyekutuma.....wenye akili wameshatambua .....wewe ni mtu wa aina gani.....na hata uwezo wako wakufikiri uko ktk level gani,,,.......ndo maana hatusbishani nawajinga........kunawanaojitambua na kutulia....hao tunawaelimisha....kapumzike ukishakuwa ...rudi tutakupa shule ya bure yakujitambua na kuchambua mambo....all da best
.......Martina.....ni vema ungemwelewa Pengo.....Nilivyomuelewa mimi .....sio msaliti hata kidogo....tambua aliruhusi barua isomwe jimboni kwake kitu ambacho angeweza kukataa......pili walipohamua kikao kilifanyika Arusha yeye hakuwepo alikuwa ITALY na baadae INDIA.....na alisema kabisa anachotoa ni MAWAZO YAKE BINAFSI....kama yeye....alipokosea ni wapi sasa.......jamani tuweke dini zetu pembeni tuuvae Utanzania........hili taifa ni letu sote...sio la wakristu peke yao....tambua wapo wasioamini Mungu, waislam na wengine.....kila mtu akija na maazimio kutakuwa na nchi kweli..... ........SOMA ALICHOKISEMA LEO
UFUATAO ni ujumbe mfupi wa Muadhama
Polycarp Kardinali Pengo alioutoa leo katika
Kanisa la St. Joseph jijini Dar es Salaam
kuhusiana na waraka wa maaskofu uliotolewa
hivi karibuni kwa Wakristo nchini
kujiandikisha kikamilifu na kisha kuikataa
Katiba Inayopendekezwa wakati wa kura ya
maoni kwa vile haikujadiliwa kiuadilifu.
"Maaskofu hatuna mamlaka ya kuwaamulia/
kuwalazimisha waumini wetu wafanye
uamuzi gani kuhusu katiba, kuwaamulia ni
kuwadharau kuwa hawawezi kufanya uamuzi
sahihi wao wenyewe na kuingilia uhuru wao.
Waraka huu unaleta utengano katika taifa
kuwa Wakristo, tumechukua uamuzi dhidi ya
serikali na wengine....
Tuwaache waumini wafanye uamuzi kwa
tafakari yao binafsi bila shinikizo letu.....
Wakati hili linajadiliwa nilikuwa Italy katika
kusimikwa makardinali na baadaye India,
wengine wakavumisha nimelazwa,..wengine
nimefariki, lakini namshukuru Mungu hizo ni
dua za kuniongezea maisha marefu na afya
(makofi).
Nililetewa waraka nikausoma, umepitishwa
baada ya tafakari kubwa nauheshimu. Lakini
nadhani tuwaache waumini wafanye uamuzi
kwa uhuru baada ya kutafakari....
Si sahihi tukaenda katika katiba kama
Wakristo kwa shinikizo la kupinga katiba...
Wawe huru anayepinga kwa hiari yake
anayekubali kwa dhamiri yake....
Sidhani kama viongozi wa dini sasa tuna amri
ya kulazimisha uamuzi juu ya katiba....
Hivi kila dini ikianza kuchukua misimamo
kuhusu mambo ya kisiasa Tanzania
itabaki???