Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Huyu gwajima kwanza ameharibu ndoa ya kijana mwenzetu Mbasha alafu bado anajiita mchungaji,tunaomba serikali itusaidie kudeal na mamluki was hivi kwenye jamii yetu ...this guy deserves to be tasked on how to keep manners

mkuu hizo ni story naona hazina ukweli wowote
 
Samahani hivi huyu makonda anaelewa mipaka yake kweli?
 
Labda Pengo yuko usalama wa taifa. ukimuona anavyoongea utadhani amekaa upande wa kiume wa Yesu, la hasha yuko upande wa kuume wa Kikwete. Kwa maono yake anaona nchi hii inaendeshwa vyema(elimu bora kama aliyosoma yeye wakati wa mkoloni, kufifia kama sio kufa kwa sector ya Afya, utabaka. nk) basi kama anasali na kufunga na matokeo yake ndiyo haya BASI HAKUNA MUNGU popote pale. kwanini Mungu atuache tuangamie kwa miaka 50. gwajima na awe chachu ya kutoa giza lilitanda kwenye mioyo ya Watanzania tuone unyonge na woga ni adui mkubwa katika kuleta maisha yetu yawe bora.
UNYONGE WA MWAFRICA
 
huna hoja kafilie mbali mnafiki!

mnafiki ni aliyekutuma.....wenye akili wameshatambua .....wewe ni mtu wa aina gani.....na hata uwezo wako wakufikiri uko ktk level gani,,,.......ndo maana hatusbishani nawajinga........kunawanaojitambua na kutulia....hao tunawaelimisha....kapumzike ukishakuwa ...rudi tutakupa shule ya bure yakujitambua na kuchambua mambo....all da best
 
Mkuu wa wilaya ni mlinzi wa amani kwenye wilaya yake.Matamshi ya Gwajima yaweza letelea vurugu katika wilaya yake ya kinondoni kati ya wakatoliki wanaomheshimu Pengo na wafuasi wa Gwajima waliokuwa wakishangilia wakati Pengo akiporomoshewa matusi ya nguoni.

HIVYO KUMWITA NI SAWA

Hakuna mkatoliki anayemueshimu Pengo
 
DC Makonda watamkoma mwaka huu... Walimtukana sana alipokuwa anafunga kamba za viatu vya Ridhwani Kikwete!!!! ...
 
Mkuu wa wilaya ni mlinzi wa amani kwenye wilaya yake.Matamshi ya Gwajima yaweza letelea vurugu katika wilaya yake ya kinondoni kati ya wakatoliki wanaomheshimu Pengo na wafuasi wa Gwajima waliokuwa wakishangilia wakati Pengo akiporomoshewa matusi ya nguoni.

HIVYO KUMWITA NI SAWA

Si ameshaitwa polisi? Kwani huko polisi ameenda kufanya nini kama si kutolea ufafanuzi tuhuma hizo? Kwa mtindo huu mwenyekiti wa mtaa atamwita akatoe maelezo. mwenyekiti wa kata, diwani, mbunge, mkuu wa mkoa, meya, Takukuru, Sumatra, na hata JK naona kila mtu atamwita kwa wakati wake ofisini kwake akatoe maelezo.
 
Utendaji kazi wa huyu dogo ni TUSI KUBWA SANA KWA MAMLAKA YA UTEUZI

Mamlaka ya uteuzi inaundwa na mtu mmoja, na teuzi zake zote ni za mashaka. Kwake ni sawa tu wala hakuna tusi..
 
mnafiki ni aliyekutuma.....wenye akili wameshatambua .....wewe ni mtu wa aina gani.....na hata uwezo wako wakufikiri uko ktk level gani,,,.......ndo maana hatusbishani nawajinga........kunawanaojitambua na kutulia....hao tunawaelimisha....kapumzike ukishakuwa ...rudi tutakupa shule ya bure yakujitambua na kuchambua mambo....all da best

huna hoja kaka si umesha andika matakataka hapo juu,wewe ndio hujitambui, mwenye kujitambua hawezi support unafiki wa pengo,jibu swali langu kwa nini pengo asiseme usisomwe, pengo alishindwa nini kusema usisomwe,inaonekana nayeye hajitambui, angalia sasa anavyotapatapa,aibu tupu!na wewe usojitambua unatetea tu,pengo is finish kama kilaini na bado wapo wengi,mwaka huu tutaona mengi
 
Hili tulipokee nalo kama lilivyokuja kwa sababu ni mwendelezo wa ombwe la uongozi wa juu wa nchi. hivi huyu DC wa wilaya hata akili yake kidogo sana aliyonayo hilo nalo ni jukumu lake? hata kova hivi jeshi la polisi limeanza kushughulikia kesi za defamation? au ni kutupotezea mwelekeo kwenye masuala ya msingi ? mwambieni Makonda ajaribu kufikiri kidogo anatudhalilisha vijana aaah pumbavu kabisa.
 
.......Martina.....ni vema ungemwelewa Pengo.....Nilivyomuelewa mimi .....sio msaliti hata kidogo....tambua aliruhusi barua isomwe jimboni kwake kitu ambacho angeweza kukataa......pili walipohamua kikao kilifanyika Arusha yeye hakuwepo alikuwa ITALY na baadae INDIA.....na alisema kabisa anachotoa ni MAWAZO YAKE BINAFSI....kama yeye....alipokosea ni wapi sasa.......jamani tuweke dini zetu pembeni tuuvae Utanzania........hili taifa ni letu sote...sio la wakristu peke yao....tambua wapo wasioamini Mungu, waislam na wengine.....kila mtu akija na maazimio kutakuwa na nchi kweli..... ........SOMA ALICHOKISEMA LEO

UFUATAO ni ujumbe mfupi wa Muadhama
Polycarp Kardinali Pengo alioutoa leo katika
Kanisa la St. Joseph jijini Dar es Salaam
kuhusiana na waraka wa maaskofu uliotolewa
hivi karibuni kwa Wakristo nchini
kujiandikisha kikamilifu na kisha kuikataa
Katiba Inayopendekezwa wakati wa kura ya
maoni kwa vile haikujadiliwa kiuadilifu.
"Maaskofu hatuna mamlaka ya kuwaamulia/
kuwalazimisha waumini wetu wafanye
uamuzi gani kuhusu katiba, kuwaamulia ni
kuwadharau kuwa hawawezi kufanya uamuzi
sahihi wao wenyewe na kuingilia uhuru wao.
Waraka huu unaleta utengano katika taifa
kuwa Wakristo, tumechukua uamuzi dhidi ya
serikali na wengine....
Tuwaache waumini wafanye uamuzi kwa
tafakari yao binafsi bila shinikizo letu.....
Wakati hili linajadiliwa nilikuwa Italy katika
kusimikwa makardinali na baadaye India,
wengine wakavumisha nimelazwa,..wengine
nimefariki, lakini namshukuru Mungu hizo ni
dua za kuniongezea maisha marefu na afya
(makofi).
Nililetewa waraka nikausoma, umepitishwa
baada ya tafakari kubwa nauheshimu. Lakini
nadhani tuwaache waumini wafanye uamuzi
kwa uhuru baada ya kutafakari....
Si sahihi tukaenda katika katiba kama
Wakristo kwa shinikizo la kupinga katiba...
Wawe huru anayepinga kwa hiari yake
anayekubali kwa dhamiri yake....
Sidhani kama viongozi wa dini sasa tuna amri
ya kulazimisha uamuzi juu ya katiba....
Hivi kila dini ikianza kuchukua misimamo
kuhusu mambo ya kisiasa Tanzania
itabaki???

Hivi tamko la maaskofu liliweka mikakati gani ya "KUWASHINIKIZA" waumini wao na kuhakikisha wanapiga kura ya hapana?
 
Back
Top Bottom