Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
= afadhali
asante mama Faizyfox kiswahili mugumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
= afadhali
Na wewe utaitwa ofisini kwake ukajieleze subiriHuyu makonda mavi ya bata kabisa.DC unahusika na nini kwenye mambo hayo
Kichaa kapata RUNGU.Polisi wameshaanza mambo ya kisheria na wewe Makonda unaingilia je? Achia polisi wafanye kazi zao.Pia muite nayule aliye mkwita Waziri mkuu mstafu Warioba,wote walivunja sheria.
Hivi alipomtukana lowasa aliitwa na nani?
Aliitwa na waliomtuma na kupongezwa kwa kazi nzuri aliyoifanya, na akazawadiwa ukuu wa wilaya.
Si ungani na Gwajima lakini naona Makonda anatafuta umaarufu tu.
Huyu jamaa alivyomtusi Lowassa mbona hakuitwa polisi?!
ACHA UPUUZIKama mlikuwa hamjui gwajima kamgusa mwenye nchi haya yaliyo mkuta gwajima ndio yaliyo mkuta ponda pengo ndio kiongozi katika nchi hii bora umtukane mkuu wa kaya kuliko pengo sisi ndio tunaujua mfumo kristo unavyo tawara nchi
ACHA UPUUZI
mimi ni mkatoliki kuliko wewe
PENGO AMEKOSEA, PENGO AMEDHARAU MAASKOFU,
GWAJIMA hajatukana ukatoliki tena ukimsikiliza umeliheshimu sana kanisa pale alipodai limemlea
kwa taratibu za kikatoliki zilivyo ni marufuku kupinga jambo lililoamuliwa pamoja na pengo alikuwa na nafasi ya kupinga hili jambo ndani ya vikao akasubiri kujidhalilisha
KWA KADRI GWAJIMA anavyohangaishwa ndivyo tunavyozidi kuamini PENGO ni askofu wa serikali na sii kanisa