kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,875
Wewe naona una shida na jina kitabala tu. Kwani ukiwa competent ndiyo kila kesi ushinde wewe?Kuua bila kukusudia unatikiwa umuattack mtusasa LULU hakua hivyo, alikua mdogo weight ya kanumba na LULU hazina uwiano mdogo, how. @Kibatala kashindwa ii kesi ni kuonesha how incompetent he is, au anachukulia kesi kisiasa,
..Hata kama Kanumba alikua kalewa, bado itatafsiriwa kama self defense kwa sabab lulu alikua bado mdogo, yaan This case inanipa bells, Something is missing
That's what I thought.Bush lawyer
Sawa ila i am not a lawyer. Japo nahuakika point yangu hujailewa, uko clouded na emotionsBush lawyer
Ah ah ah ah ah ah ah Wew Jamaa Aya BhanaKwanza Dady gani asiye na uwezo wa kumpa mimba mwanamke??
Yaani wewe bush lawyer unataka kumfundisha kibatala def na conditions for kuua bila kukusudia, hebu pekua humu ndani kuna jamaa Jana kaweka sababu zinampelekea kusemwa kaua bila kukusudia kisha utafute hilo sharti la kumattack mtu kama lipo.Unatakiwa umuattack mtu,ndio tafsir yangu, lakin bado ii kesi inaukakasi, wanaoitafsir kua lulu ameua bila kukusudia wana underate sheria
Mtu wa mwisho kua na marehemu kabla ya umauti ni LULU.Unatakiwa umuattack mtu,ndio tafsir yangu, lakin bado ii kesi inaukakasi, wanaoitafsir kua lulu ameua bila kukusudia wana underate sheria
Hii nayo ni point..Wewe naona una shida na jina kitabala tu. Kwani ukiwa competent ndiyo kila kesi ushinde wewe?
Now you're thinking on behalf of other people.!!Sawa ila i am not a lawyer. Japo nahuakika point yangu hujailewa, uko clouded na emotions
Mtu wa mwisho kua na marehemu kabla ya umauti ni LULU.
Marehemu kabla ya umauti alikua kalewa na anampiga Lulu....alipoulizwa alifanya nini baada ya kupigwa akasema hakufanya kitu...(kajikanganya maana busara na utashi wa kawaida vinakinzana yaani
haiwezekani usifanye kitu).
Vitu hivyo hapo juu ndivyo vinaitwa ushahidi wa kimazingira...
Sasa unataka nini zaidi.!
Nonsense..Ndo maana nikazungumzia incompetence apo, something is missing,... Uyu kibatara ajiangalie kuna kesi nying zitamshinda,
Kibatara made it possible for Lulu to get away with it.... otherwise yule binti angepigwa mvua ya maana...kuepusha ajali ile ingekua ngumu..Sasa kibatara kakwepesha uso kwa uso ndio maana imegonga mti....Ndo maana nikazungumzia incompetence apo, something is missing,... Uyu kibatara ajiangalie kuna kesi nying zitamshinda,
Sawa ila najaribu kulizungumzia hili in different angle than mine,nahuhakika hatuwez elewana ila iyo ni point yangu kua something is missing, japo ataenda jela lakin, sheria itatushindaNonsense..
....be specific...what is missing..?.you seems to know...!Sawa ila najaribu kulizungumzia hili in different angle than mine,nahuhakika hatuwez elewana ila iyo ni point yangu kua something is missing, japo ataenda jela lakin, sheria itatushinda
Ushakuwa Harvey spector, ifufue hiiKuua bila kukusudia unatikiwa umuattack mtusasa LULU hakua hivyo, alikua mdogo weight ya kanumba na LULU hazina uwiano mdogo, how. @Kibatala kashindwa ii kesi ni kuonesha how incompetent he is, au anachukulia kesi kisiasa,
..Hata kama Kanumba alikua kalewa, bado itatafsiriwa kama self defense kwa sabab lulu alikua bado mdogo, yaan This case inanipa bells, Something is missing
That's the meaning,Wewe naona una shida na jina kitabala tu. Kwani ukiwa competent ndiyo kila kesi ushinde wewe?
Ii kesi imekaa kisiasa iko very political....be specific...what is missing..?.you seems to know...!
Maana tafsiri zetu humu hazijafua dafu kukuelewesha..tueleweshe wewe Kaka.
@#£@££....your mind is totally corrupted...Ii kesi imekaa kisiasa iko very political