charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 5,992
Usishangae sana nchi hii ina wenyewe hivi unakumbuka kesi ya Ditopile ya mauaji ilivyoisha?Ina maana muuaji anaweza achiwa na Babu seya ambaye DNA hazikupimwa akafia jela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usishangae sana nchi hii ina wenyewe hivi unakumbuka kesi ya Ditopile ya mauaji ilivyoisha?Ina maana muuaji anaweza achiwa na Babu seya ambaye DNA hazikupimwa akafia jela?
Imenibd nichekeBaada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076
Msamaha wa Rais huhusisha waliotumikia adhabu walau robo hivyo Desemba hatoki labda AprilSikukuu gani ipo karibuni?
Makonda,sijui marina Nani huyuuu,makamasi sijui,ni KiLAZAA.Sasa, Lulu ataionaje hiyo message ya Makonda na kujiandaa?
Hakuna kosa ambalo halina msamahaHaya tunasubiri labda Dady atafanya maajabu 9Dec kama sheria ikipindishwa,maana sidhani kama kesi za mauaji zina msamaha.
UhuruSikukuu gani ipo karibuni?
No, he will let her go.Dad....is...coming meaning he(Makonda?) will be visiting Lulu there.
UNAONGEA AS IF HUWA ANAFATA SHERIA,kwni akiamua kufanya hivyo mtamfanya nini?kuna utawala wa sheria awamu hii?Msamaha wa Rais huhusisha waliotumikia adhabu walau robo hivyo Desemba hatoki labda April
Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076
Mkuu hivi umekisoma kweli ulichokiandika?Mkuu ameandika makonda unalalamika
Mbona kibatala kasema anaenda kukata rufaa haujasema chochote
Au kisa makonda ni kundi Fulani
Na kibatala ni kundi lenu
Tujue kila mtu ananafasi ya kuzungumza anacho amini kitamsaidia yeye na si wengine
Ni wajinga tu mnaofikiria hivi. Mnatumia hisia sana zaidi ya akili.Independence day