Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

4dd0c7beeca564ce12b2b754b98cb495.jpg
 
Acha ubwege we kijana na roho.mbaya dady yeyote ambaye anaweza kuwa baba kwa lulu na baba haimanish mapenz... Maana hata mwenyez mungu alisema ole wao wenye kuwaita wake zao kwa majna ya mama zao...(wanamwita mke mama au mume baba)

Okay acheni makonda andike anachojisikia mazal ajavunja sheria za nchi
safari hii wanwapa shida kweli hawa wasukuma wawili kufafanua kauli na matendo yao,mara utasikia alikuwa anatania,mara hivi mara vile..poleni sana inzi wa kijani
 
Sio kweli,kwa sababu kubwa mbili: kwa wanaomjua Lulu watakucheka sana wakisikia eti kuna mkubwa inabidi atumie mzunguuuko woote kula ile papuchi iliyoenda mileage,kale katoto ni hela yako since kako 9 years old kanacheza kotekote,beki wa nyuma na mashambuliaji wa mbele,kana uzoefu mkubwa mno,more than a decade kuhudumia ma dusheeee hadi marehemu kepteni aliyefikia hatua ya kumnunulia corolla na kujenga nyumba tabata iliyoishia lenta na hiyo ilkuwa between 2009-2012
Pili,pamoja na kwamba reasoning ya watawala wa sasa ipo chini mno sidhani kama wanaweza kutumia kesi hii kuchukulia point za kisiasa wakati kanumba bado ana mashabiki wanao mmiss. kesi ya kuchukulia ujiko ni YA BABU SEYA TU na najua bashite atafanya yake pale
Kuhusu hiyo post ya bwana Daud albert,we mzoee tu kwani unaona hata dressing code zake?anapigiwa saluti na wanajeshi an mapolisi huku kaweka mikono mfukoni,anatembea na motorcade kubwa kuliko ya waziri mkuu,anagombana na wasanii club na kuamuru mziki uzimwe,he gives a zerofuck,yuko juu ya sheria na madharau kibaaaooooo.
Huko mwanzo umekosea sana, huyo jamaa huwa hanaga plan kabisa wala huwa hawazi kwamba akifanya kitu fulani kita fire back. Kiufupi huyo jamaa ni class A Popoma.

He gives zerofuck kama ulivyosema kitu ambacho kinapelekea wengi wabashiri kuwa kuna uwezekano wa hicho kitu.

Hajali kabisa mambo yake huyu jamaa na sijui kama huwa ana washauri maana maamuzi yake ni ya kis3ng3 sana huyu mtu. Huyu inaonekana muda mwingine maamuzi ya mkulu anatoaga kwa bashite
 
_"Mtoto aliyekiuka protection ya wazazi, Mtoto aliyekua anaitwa “mke wangu” na anaitikia, Mtoto aliyeamua kuutumia muda wa usiku wa manane kutoka na marafiki na kupita kwa boyfriend wake; Sidhani watunzi wa sheria ya mtoto walikua wanamuongelea mtoto huyu Kama huyu atapewa lindo na sheria ya mtoto Basi wale watu wazima wenye tabia za kitoto ipo siku watajaa kwenye mahakama hizi na kudai lindo la sheria hiyo. Staki kufungua mlango huo."_

*Hon. Rumanyika J*


Nimemsoma sana Judge[emoji17][emoji17][emoji17]
 
_"Mtoto aliyekiuka protection ya wazazi, Mtoto aliyekua anaitwa “mke wangu” na anaitikia, Mtoto aliyeamua kuutumia muda wa usiku wa manane kutoka na marafiki na kupita kwa boyfriend wake; Sidhani watunzi wa sheria ya mtoto walikua wanamuongelea mtoto huyu Kama huyu atapewa lindo na sheria ya mtoto Basi wale watu wazima wenye tabia za kitoto ipo siku watajaa kwenye mahakama hizi na kudai lindo la sheria hiyo. Staki kufungua mlango huo."_

*Hon. Rumanyika J*


Nimemsoma sana Judge[emoji17][emoji17][emoji17]
Nimemuelewa sana jaji!
 
mama kanumba kaenda kaburini kwa marehem mwanae steven ..kumwambia apumzike kwa aman
 
Lulu lazma atetewe kwa nguvu zote na wenye akili, no mattter aliua au la alikuwa anajitetea asibakwe.....

Naungana na Makonda kumtetea Lulu, mtu asiye na hatia anafungwa miaka miwili... Shubamitty
Kwahiyo wewe hakimu mpaka umekuta ana hatia
 
Daddy yake lulu si majizzo for shizzo ataenda nae ndani kwa kesi ya unga
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Sio kweli,kwa sababu kubwa mbili: kwa wanaomjua Lulu watakucheka sana wakisikia eti kuna mkubwa inabidi atumie mzunguuuko woote kula ile papuchi iliyoenda mileage,kale katoto ni hela yako since kako 9 years old kanacheza kotekote,beki wa nyuma na mashambuliaji wa mbele,kana uzoefu mkubwa mno,more than a decade kuhudumia ma dusheeee hadi marehemu kepteni aliyefikia hatua ya kumnunulia corolla na kujenga nyumba tabata iliyoishia lenta na hiyo ilkuwa between 2009-2012
Pili,pamoja na kwamba reasoning ya watawala wa sasa ipo chini mno sidhani kama wanaweza kutumia kesi hii kuchukulia point za kisiasa wakati kanumba bado ana mashabiki wanao mmiss. kesi ya kuchukulia ujiko ni YA BABU SEYA TU na najua bashite atafanya yake pale
Kuhusu hiyo post ya bwana Daud albert,we mzoee tu kwani unaona hata dressing code zake?anapigiwa saluti na wanajeshi an mapolisi huku kaweka mikono mfukoni,anatembea na motorcade kubwa kuliko ya waziri mkuu,anagombana na wasanii club na kuamuru mziki uzimwe,he gives a zerofuck,yuko juu ya sheria na madharau kibaaaooooo.
Aiseeee yani kila nikisoma Comment zako Namuona Mange Kimambi.. Why why..
 
Back
Top Bottom