Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukweli ndiyo huo mjinga akipewa cheo hujiona ni mtu wa maana kuliko wengine.
 
Sio kwamba aliombea, aliota Magufuli atakufa. Na kweli ndoto yake ikaja ikawa kweli. Kosa lake lipo wapi?. Halafu mambo personal usipeleke kwenye maendeleo ya umma.
Mangi si mmepachika hadi unabii ingawaje alishindwa kutabiri kuwa maandamano hayatakiwa wa wafuasi?πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
Acha uchizi Mangi ,alipokuwa anaomba kura za ubunge aliahidi wanchi kitu gani ?kama sio kazi ya mmbunge kuwakilisha wanachi bungeni kwa niaba unadhani kazi ya ubunge ninkwenda kunywa chai ehe?
Tokea 2020 hakuna barabara yeyote ya lami iliyojengwa ya maana na sio arusha ni karibia nchi nzima

Wakati wa lema ndo mara ya kwanza arusha inajengwa double road kuanzia tengeru mpaka sakani

Wakati wa lema ndo barabara nyingi za mjini kati zilipigwa lami
 
Hivi hujui kuwa huyu chizi hadi alipewe jina la nabiii πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ

Ni nabii kweli alimtabiria Magufuli, ndugai na Sabaya na yote yakatokea.
 
Lema alikuwaga mbunge kwa miaka kumi kumbe hakuweza piga debe kuhusu barabara za hili jiji letu namba mbili hapa nchini?πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Acha uchawa na upumbavu. Unaifahamu Ar vizuri?? Makao Mapya, Kaloleni, Unga Ltd Mwanama relini hayo ni mifano michache wakati wa Mh Lema.

Hapo anaongea na watu wazima wanaelewa malengo yake ni yepi na yuko Ar kwa kazi gani. Yeye ndiye mwenye majungu na siku zote mchawi ndiye wakwanza kufika msibani.
 
Mangi si mmepachika hadi unabii ingawaje alishindwa kutabiri kuwa maandamano hayatakiwa wa wafuasi?πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ

Hakuna utabili kwenye Jambo ambalo dalili zinaonesha serikali kupitia polisi wamelipiga marufuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…