Uchaguzi 2020 Paul Makonda: Asanteni sana Kigamboni, mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu

Uchaguzi 2020 Paul Makonda: Asanteni sana Kigamboni, mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu

Binafsi namuunga sana Dkt. Ndugulile. Unaibu wa Wizara ya Afya ameifanya kwa weledi mkubwa na ametoa ushauri mzuri pale palipohitajika. Niwapongeze Wana Kigamboni kwa uamuzi mlioufanya. Asanteni sana.
 
Watanzania wamekupa majibu yako, jifunze namna ya kuishi na watu...matendo yako si masafi mbele ya watanzania na mbele ya Mungu. Cheo kilikuwa dhamana tu, sasa dhamana imeondoka leo hii upo sawa na sisi tunaohongwa IST... sasa sijui mwanaume unahongwaje ili utoe nini....

Haya ndiyo mambo ambayo yamekufanya uadhibiwe na watu kushangilia kuadhibiwa kwako - read btn the lines..! Pole sana.
Maneno ya busara kabisa

Btw sikujuaga kuwa we ni KE[emoji15][emoji849][emoji16]
 
Kama Makonda angetaka ubunge alitakiwa aje kwny jimbo letu la ukonga angepata kirahisi asingekuwa na mpinzani wa kumzidi akili.
 
Paul Makonda amesema haya...

“Nimepata pole nyingi sana kutokana na matokeo ya jana, kwanza nawashukuru kwa upendo wenu na maombi yenu ya kunitakia mafanikio katika kutimiza NDOTO yangu”

“Jambo moja kubwa ni muhimu ni kuyajua mapenzi ya Mungu na katika hili mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu, nawatakia baraka na afya njema siku zote za Maisha yenu, Asanteni sana sana Wana KIGAMBONI kwa upendo wenu na kunipa nafasi niwe sehemu ya Maisha yenu”


Kama ni karata ulicheza gwalasha, anyway subiria nafasi za viti maarum! Mkulu atakujali tu.

Ila ukirudi shule itapendeza sana.
 
Kwahiyo sa itakuwaje nani atawaambia watu wareport central?

Ila si ni life tu??
 
Nikiwa kama mwanayanga nimefurahia matokeo haya, hasa nikimkumbuka manji
 
Wanafki Mme waonaaa wanafkiiiii
 
CCM bado hawajaweka usawa ktk hii michakato ya kura za maoni.

Unajua unapokuwa kakikundi eti ka kamati ya siasa ni rahisi sana kukafanyia robbing.

Hii ilitakiwa kila kijiji wanachama wte wa ccm wapige kura.

Ikiwa hivyo itakuwa ngum sana mgombea kuwahonga wanachama wte kila kijiji ktk jimbo lote. Hata km amepewa mafao hawezi kuwahonga wte.

Lakini hii stail nirahisi sana kuaanda kikundi chako kuanzi kipindi cha wagombea kura za ujumbe wa kamati za siasa kijiji.

Naamini wengi walopita hasa wabunge walomaliza mda wao %kubwa walitembeza njugu be4.
Huo uongo na kubuni... kama ni hivyo si wote wana uwezo wa kufanya hivyo (iweje umshutumu mmoja aliyeshinda tu), hatahivyo ccm haikusubiri wewe kuisemea
 
I bet atapewa mkoa wa Dodomia auongoze, mahenge umri umeshaenda na ukizingatia ame excute order hatarishi kwake kutoka kwa top manyota so hawez kumuweka mbali nae
 
Kwanza nimpe pole Makonda kwa matokeo ya jana!

But I’m confused, “Asanteni....na kunipa nafasi niwe sehemu ya Maisha yenu”. Is he in denial?
Anaamini yeye ndiye hatimaye atateuliwa na "vikao vya juu" kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi mkuu
 
I bet atapewa mkoa wa Dodomia auongoze, mahenge umri umeshaenda na ukizingatia ame excute order hatarishi kwake kutoka kwa top manyota so hawez kumuweka mbali nae
Amuombe Mungu kwanza akiongoze kinywa chake kiwe na busara.
Hang'ai hata kwa JIKI.

AHSANTENI CCM KIGAMBONI.
 
Back
Top Bottom