Unamgeuka mwenzako?Ujinga mtupu ukivuliwa nguo chutama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamgeuka mwenzako?Ujinga mtupu ukivuliwa nguo chutama!
Ha ha ha! Umenichekesha sana!!!!
Yupi uliyenikuta nae!Unamgeuka mwenzako?
Maneno ya busara kabisaWatanzania wamekupa majibu yako, jifunze namna ya kuishi na watu...matendo yako si masafi mbele ya watanzania na mbele ya Mungu. Cheo kilikuwa dhamana tu, sasa dhamana imeondoka leo hii upo sawa na sisi tunaohongwa IST... sasa sijui mwanaume unahongwaje ili utoe nini....
Haya ndiyo mambo ambayo yamekufanya uadhibiwe na watu kushangilia kuadhibiwa kwako - read btn the lines..! Pole sana.
Huyo ni Rc tena for 2020-25Ameacha U RC Dar ili aingie Bungeni halafu amekosa vyote.
Subiri tuone Baba J atampachika wapi.
KWAKWELI......Kila lenye mwanzo lina mwisho,Akale dagaa sasa.
Kama ni karata ulicheza gwalasha, anyway subiria nafasi za viti maarum! Mkulu atakujali tu.Paul Makonda amesema haya...
“Nimepata pole nyingi sana kutokana na matokeo ya jana, kwanza nawashukuru kwa upendo wenu na maombi yenu ya kunitakia mafanikio katika kutimiza NDOTO yangu”
“Jambo moja kubwa ni muhimu ni kuyajua mapenzi ya Mungu na katika hili mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu, nawatakia baraka na afya njema siku zote za Maisha yenu, Asanteni sana sana Wana KIGAMBONI kwa upendo wenu na kunipa nafasi niwe sehemu ya Maisha yenu”
Ndugu...
Huo uongo na kubuni... kama ni hivyo si wote wana uwezo wa kufanya hivyo (iweje umshutumu mmoja aliyeshinda tu), hatahivyo ccm haikusubiri wewe kuisemeaCCM bado hawajaweka usawa ktk hii michakato ya kura za maoni.
Unajua unapokuwa kakikundi eti ka kamati ya siasa ni rahisi sana kukafanyia robbing.
Hii ilitakiwa kila kijiji wanachama wte wa ccm wapige kura.
Ikiwa hivyo itakuwa ngum sana mgombea kuwahonga wanachama wte kila kijiji ktk jimbo lote. Hata km amepewa mafao hawezi kuwahonga wte.
Lakini hii stail nirahisi sana kuaanda kikundi chako kuanzi kipindi cha wagombea kura za ujumbe wa kamati za siasa kijiji.
Naamini wengi walopita hasa wabunge walomaliza mda wao %kubwa walitembeza njugu be4.
Anaamini yeye ndiye hatimaye atateuliwa na "vikao vya juu" kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi mkuuKwanza nimpe pole Makonda kwa matokeo ya jana!
But I’m confused, “Asanteni....na kunipa nafasi niwe sehemu ya Maisha yenu”. Is he in denial?
Amuombe Mungu kwanza akiongoze kinywa chake kiwe na busara.I bet atapewa mkoa wa Dodomia auongoze, mahenge umri umeshaenda na ukizingatia ame excute order hatarishi kwake kutoka kwa top manyota so hawez kumuweka mbali nae
Ninakubaliana nawe.Sahau, atapewa hata kazi nzuri kuliko ubunge! Huyu ni wa kufa na kuzikana!
hata apewe unaibu waziri mkuu Jiwe atajua mwenyewe MUHIMU ni kwamba ujumbe kaupata kwamba mbebwaji hakubaliki!.Ninakubaliana nawe.