š¤£š¤£š¤£Mm nadhani haya mavazi ya hijabu na baibui yasitishwe kwa muda hadi makonda apatikane.
Isije ikawa tunapishana nae humu humu mjini kwenye vazi la baibui..[emoji3][emoji3][emoji3].
Kama alivyotoroka rais wa visiwa vya Anjuani Comoro.
[emoji3][emoji3][emoji3]