Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Vijana wa kimkakati kama kina Nnape na Makamba hawana furaha hapa
 
Very disappointed with the appointment,I choose to reserve my comments,BUT LET THEM CCM GO AND LISTEN TO THE SONG OF THE LATE LUCKY DUBE,..,''YOU GONNA REAP,JUST WHAT YOU SOW''...
Pole ....!!! Mimi siku hizi stress sitaki Hata kidogo. Enjoy Mkuu, halafu siyo Kila jambo unaloona sawa sote tunaliona sawa!!
 
Hawa ndio CCM sasa.
CCM Ni genge la wanyang'anyi lenye maslahi yanayofanana. Huu Ni mduara wa kula keki ya Taifa.

Haya Ni maandalizi ya Uporaji wa Uchaguzi Mkuu 2025.

Hakuna CCM msafi na hakuna wa kumnyooshea mwingine kidole.

Nb: Mimi siwalalamikii CCM kwa sababu nami najitahidi nikipata connection najiunga ktk ulaji.

Nafasi cjapata tu!
 
Siasa balaa hata Former PM Nawaz Sharif kapokelewa kwa vifijo na furaha wakati alikuwa mwizi mkubwa na kukimbia nchi
Ila maisha ndio yalivyo huwezi kujua ila kuna utabiri
 
Siku dp world wanasaini mkataba, a controversial appointment is made...
Samia kweli kaiva sasa anaupiga mwingi, amejua kucheza na akili za watanzania...
Pembeni alikuwapo Jk kikwete the engineer...!
Binafsi iam happy for makonda, ila najua ameteuliwa kwa ajili ya kutumika kuzima mjadala wa dp world...
 
Makonda kafanya maisha ya wengi yawe magumu mnamrudisha wa nini ?

alipoondoka alihojiwa ofisini alisema anachojutia hajafanikiwa kuwapima wanaume wa Dar tezi dume (kwa njia ya dole)

Hapa stop ya kwanza anaenda kuendeleza visasi vyake.
Mmeingia mkenge kumjadili makonda badala ya mkataba mlioupinga... kweli manyumbu ni manyumbu... na mkiendelea kupiga kelele atateuliwa sabaya kwenye nyadhifa yoyote ili muachane kabisa na ishu ya mkataba wa dp world mjadili hawa watu...
 
Maza alimkingia kifua asishughulikiwe...
Jamaa alipata malalamiko sana kutoka kwa Wahindi.. Walienda pale PCCB Upanga..
Wahindi walichotwa sana na Bashite...

Ila safari hii sidhani kama ataleta ubabe tena wa kiMagufuli
Wivu Kama mwanamke!
 
Makonda alifanya mambo mengi mazuri. Huu ndiyo ukweli. Wakazi wa Dar es Salaam ni mashahidi. Ni mchapakazi mzuri sana, ni muongeaji (orator) mzuri sana na mhahasishaji (community mobilizer) mzuri kwa rika zote.

Kati ya mambo mazuri aliyoyafanya ni pamoja na hili hapa chini.


View: https://youtu.be/QUomwpKMfx8?si=kouuz2tUWTzq6e5u
 
Shetani alimsikia sana Makonda akauawa Mwendazake na mama sasa anatanua. Mbona sasa wanamsema vibaya au nalo hili anasemaje?
 
Kuna yule shehe wa dar aliemkana makonda Mara 3 kule kigamboni[emoji28]
 
Mtapoteana sana huku kwenye Sacco's yenu ya CHADEMA maana mpaka sasa mmechanganyikiwa kabisa

..Makonda is not intelligent.

..Hiyo nafasi inahitaji mjenga hoja nzuri kitu ambacho Makonda hana uwezo nacho.

..Makonda alikuwa akivuma na kutamba kwasababu ya mamlaka ya kukamata na kufunga kitu ambacho sasa hivi hana.
 
alipoondoka alihojiwa ofisini alisema anachojutia hajafanikiwa kuwapima wanaume wa Dar tezi dume (kwa njia ya dole)

Hebu nisaidie chanzo, gazeti ama clip, inayomwonyesha Makonda akisema anachojutia kutofanikisha kama RC Dar ni kuwapima wanaume tezi dume kwa njia ya kidole.
 
Kuna yule shehe wa dar aliemkana makonda Mara 3 kule kigamboni[emoji28]
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ ni muda muafaka wa kuwatambua wanafiki. Marehemu hasemwi ila Lemutuz alikiwa mnafiki wa karne. Yaani alimkana fasta sana Makonda.
 
Hahahaha..namwona pale uwanjani kama Sabaya, Yuko anapasha mwili viungo, naye aweze kuingia........kaazi kwelikweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…