Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Hapa lazima chadema wakimbie hadi vimvuli vyao maana kaja mwamba mwenyewe anayezijuwa siasa za nchi hii na mwenye kujiamini kama komandoo wa vita.
Kumbe wewe mpuuzi kweli Chadema haikumuogopa Magufuli imuogope huyo div zero mwenzako. Unaona sasa tunapokuambia wewe ni takataka tu kwa walioko madarakani na kamwe huwezi kuteuliwa.
 
Niwe mkweli Makonda pamoja na udhaifu wake, mara 100 angerudishwa kuwa RC Dar.
Dar sasa ni:
1. Chafu kuliko wakati wowote
2. Katikati ya Jiji na kariakoo boda wanakera kuliko chovhote ni fujo na sio eneo salama tena.

Bora angerudishwa kule tu
 
Suala la mikono yake kuwa michafu haitaathiri safari yake ? US wana Data zake zote !! Kukatisha uhai wengine ?au sababu yiko chama sio Gov't?.....safari ......
Atajipendekeza ili aonekane ni zaidi ya Chongola; chama ndio inasimamia serikali, hicho ni cheo kikubwa kuliko cha awali. Sasa ataeeza kwenda kokote na kuongea lolote kuliko mwanzo. Mtegemee maandamano kila kona kuunga mkono Dpw, atakaegoma antachongewa ang'olewe.
 
Garbage in-garbage out!
 
Iyo nafasi kwa makonda' anastahili haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…