Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuishinda CCM kwa kura ni ngumu, twatakiwa tutafute mbinu mpya
Haki ya Mungu Makonda ni motoHa ha haaaa!!! Wanatujua ndani Nje!!! Hatuwasumbi...ha ha haaaa!
===
Safi sana. Hongera sana wateuliwa.
Hawez kuwa mropokaji tena, yuko chini ya mwenyekiti asiye na makuu wala mawaaa, ataufyata tuJambo jema sana...hapo kina mbowe Wanatamani kukimbilia ubelgiji walaah
Machawa mshaanza kazi yenu. Hizo takwimu umepata wapi?maana mara ya mwisho wajumbe walimkata kule kigamboni.
Kwa lipi , mbona hana ushawishi wowote ?
Kumbe wewe mpuuzi kweli Chadema haikumuogopa Magufuli imuogope huyo div zero mwenzako. Unaona sasa tunapokuambia wewe ni takataka tu kwa walioko madarakani na kamwe huwezi kuteuliwa.
Kabla Huyo Makonda alikuwa RC na Chongolo alikuwa DC, mambo yamegeuka juu chiniChongolo ni boss wa Bashite.
Kabla Huyo Makonda alikuwa RC na Chongolo alikuwa DC, mambo yamegeuka juu chiniChongolo ni boss wa Bashite.
Kwenye Siasa hakuna adui wa kudumu......Slaa vs Chadema juzi kati walikuwa jukwaa mojaMakonda vs kinana