Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chongolo boss wake Makonda.Joseph Gwajima na Chongolo wataficha wapi nyuso zao?
Duh, umeua mkuuBado Ole Sabaya na Musiba kilichobakia ni fukueni na ile mifupa muivishe suti halafu mfosi tuipigie saluti.
😄😅😀😃😁Yeye ndio atashusha bei ya petroli? au mimi ndio sujakulewa
Kuna siku .....Makonda kama boss Nape ...kwenye chama...atasema anapwaya mamlaka uteuzi ....wafanye yake...tusubiri muda utaongea .....mawaziri mizigo....hawamsaidii MamaKupitia mtandao wa X, Waziri wa Habari, Nape Nnauye ameandika ujumbe kwa Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM.
Ameandika:
"Mdogo wangu Paul, Karibu sana kwenye Uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo, and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila lakheri!"
View attachment 2789149
Unyooke wewe unayejipendekeza kwa watu wasiokuwa na muda na wewe.Mtanyooka mwaka huu itabidi leo ukalale Desderia pale huku ukilia machozi kwa kwikwi
Ha ha haNg'ombe kakabidhiwa kulinda majani .
HayakuhusuAcha kuandika maneno yakitokea puani na kwamasi.. pokea [emoji382][emoji382][emoji382][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uwe unaweka number yako ya simu teuzibdinapita tu.....upo tuuu shida nini chawa mkuu usie thamani kwao ?wenzako wanatembea mabango ..JF haitoshi .....simama njia nne maarufu na bango lakoAcha kuweweseka hapa .mbona wewe hukuuwawa. Kaa kwa kutulia uone moto wa makonda
Hatakuwa na mbwembwe km wengi tudhaniavyo.Na kelele za Dp World rasmi zimezimwaaa!!
Hahaa! Makonda. Na Bado ataandika tu Tena kuhusu yule aliyemuita kiroboto. Umemwambia makonda ametumia vzr likizo, lakini ww chunga ulimi wako kwani hakuna ajuaye kesho hata uliyemuita kiroboto anaweza kuja juu ya uongozNi kaka yake??