Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki chama hakina watu wanaojielewa hadi kumrudisha huyo jamaa ambaye Hana MAARIFA yakutosha kichwani ?
wanafanya watu tuamini mengi ambayo yalikuwa yanasemwa. imagine mtu amepora nyumba ya GSM wazi wazi na gsm anakuja kuambiwa na yeye ana mapungufu huwa wanamfichia afu ghafla bashite anapewa ulaji.Konekshoni
Huruma kwa kina nani ?Inategemea rais nani? Kama mama huyu mwenye huruma Makonda ataishia kujenga hoja. Mama ana huruma sana
Wa kwanza ManaraWale walimbeza wataanza kujipendekeza baada ya kumkacha awali akiwa hana cheo..
Republic of CHAWAZ
Tuwe makini..Si ajabu Utekaji unaweza kurejea tena upyaa
Inasikitisha sanaWapinzani wataaanza kupotea tena
Aisee..Upinzani atakaokutana nao Makonda siyo kutoka nje ya CCM Bali mle mle ndani. Mf Nape na genge lake.
Makonda aliwaumiza sana watu ndani ya CCM na Serikali yake wakati wa Jiwe. Na hapa wasifikiri eti wametunyamzisha na Bandari yetu. Tutaua ndege wawili kwa Jiwe moja.
Yalishakufa toka yalipoanza.Ni dhahiri, maridhiano na CHADEMA yamefikia mwisho.
INATAKA MTU SAFI....Nafasi hii itamuelemea sana makonda kuna hoja nyingi atashindwa kuzitolea maelezo kutokana na MADHILA YALIYOTOKEA NDANI YA ILIYOKUWA AWAMU YA TANO.
N. B-NAFSI HII INATAKA MTU SAFI.
Time shall tell.
Huu ni uteuzi bora kabisa katika miaka hii mitatu ya Rais samia.na unaweza kuwa uteuzi wa kihistoria kuwahi kufanywa ndani ya chama.Uteuzi wa kijinga sana