Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Makonda kafanya maisha ya wengi yawe magumu mnamrudisha wa nini ?

alipoondoka alihojiwa ofisini alisema anachojutia hajafanikiwa kuwapima wanaume wa Dar tezi dume (kwa njia ya dole)

Hapa stop ya kwanza anaenda kuendeleza visasi vyake.
CCM wote dole la kati linaenda kuwahusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uteuzi bora kabisa katika miaka hii mitatu ya Rais samia.na unaweza kuwa uteuzi wa kihistoria kuwahi kufanywa ndani ya chama.
Uwe unakumbuka na kumtukuza Mungu usijisahau sana, huyo Samia ni binaadamu tu leo yupo na kesho hayupo ila Mungu ni wa milele kama si rehma zake usingekuwa na pumzi unazotumia muda wote humu kusifu na kumtukuza Samia.
 
Kumbe huyu mama ni katili na muuaji! Anamchagua muuaji aje kuua watu?
 
Screenshot_20231022-175343.png
 
Makonda kafanya maisha ya wengi yawe magumu mnamrudisha wa nini ?

alipoondoka alihojiwa ofisini alisema anachojutia hajafanikiwa kuwapima wanaume wa Dar tezi dume (kwa njia ya dole)

Hapa stop ya kwanza anaenda kuendeleza visasi vyake.
Huyu Hana bahati!!!
Hana bahati....
Narudia Hana bahati!!!!
 
CCM imepotea njia miiko na kanuni hekima itikadi, hivi imekosa mtu safi mwenye rekodi safi asiye na Jinai wala tuhuma za aina yoyote?
Wakati wa mwl. Ukishakuwa umewahi kufikishwa mahakamani kwa tuhuma zozote ulikuwa huwezi kupata nafasi tu utumishi wa umma ndani ya Chama aidha serekalini.
 
View attachment 2789085

Ndugu Paul Makonda ameteuliwa na CCM kuwa Katibu Mwenezi.

===

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 22 Oktoba, 2023 mjini Dodoma, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Ndg. Dokta Samia Suluhu Hassan, pamoja na masala mengine, imeridhia kwa kauli moja na kuielekeza Serikali kuendelea na hatua ya utiaji saini mikataba ya uendelezaji na uwekezaji wa bandari.

Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kwa kumteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, akichukua nafasi ya Ndugu Sophia Edward Mjema ambaye ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais Masala ya Wanawake, Watoto na Makundi Maalum.

Halmashauri Kuu ya CM Taifa pia imemteua Ndugu Rabia Abdallah Hamid kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), akichukua nafasi ya Ndugu Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki.

Aidha katika kikao hicho, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imezipongeza Serikali zake zote mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Dokta Samia Suluhu Hassan na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, chini ya Rais Dokta Hussen Ali Mwinyi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kazi kubwa na nzuri ya kuendelea kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020 - 2025.

===

Pia soma: Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!
Kama nawaona akina nanii na team yake wamenuna mbaya...😂🤐
 
Shikamoo mange kimambi ningekuwa ok ningekutunuku kwa kupakua app maana Jana ulisema nikajua umbea
 
Watu wajiandae kukojolewa na kunyewa vichwani bashite ni jeering mno
 
Back
Top Bottom